FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,506
- 123,777
Nimekuelewa, kama hujui basi hii thread haikuhusu, hamia nyingine. Usiache nikutukane bureee please nakuomba sana
Wewe usinitishe, matusi nimeyazoea humu JF, mkishindwa kujibu hoja mnaanza viroja.
Unaleta mada halafu unashindwa kuitetea, huo ni upunguani wa hali ya juu. Nauliza tena;
"Kufanikiwa" kisiasa ni nini?
Kama hukijui ulichokiandika ni bora ungetafuta kingine cha kuandika. Mtu kama wewe ndio unakurupuka na mada ambayo hata wewe mwenyewe huelewi unachokiandika.