Nani aliasisi jina "Mwendazake"

Nadhani hili jina pia lina muhusu mtu ambaye amefariki bila kutimiza ndoto zake

Wa kikuyu ndio watumizi wa kubwa wa huo msamiati..ila sisi wa Tz ni ma zero kweli....miaka 3 nyuma Sauzi wali sign dili na kenya kupeleka walimu wa kiswahil Sauz wa Tz waka paza sauti wakidai siiai ndio waasisi na manguli wa kiswa

Hayati Magufuli akaenda Sauzi akapokonya ile dili na sisi tukapewa ..sasa ivi wakija wa sauz wakaona kumbe ma Tz yenyewe yana kopa misamiati toka kenya si wataona sie wa Tz ni mazwazwa


Embu tuache matumizi ya misamiati ya hawa wa kikuyu
Kama kuna logic hivi!
 
Wakenya hao Marehemu ndio aitwa hivyo.
nilishasikia huko kenya hata viongozi walioko madarakani mnawaita HAYATI mfano wabunge au magavana!sijui ni kweli au ni zamani ndio waliita hivyo na sio siku hizi??!!
mfano hayati ruto au hayati sonko
 
Back
Top Bottom