cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 86,817
- 139,286
Bas hausa kamzidi nandela, uwiiiiiiiiih nikisikilza cash madame najiona Boss Lady kabisaaaaaaaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Bas hausa kamzidi nandela, uwiiiiiiiiih nikisikilza cash madame najiona Boss Lady kabisaaaaaaaa
waleleeeeeeeeeeeeh nakojoaaaaaaaaaah yaaan huyu nandela ampite hausa kwa lipi hasa? Hebu kuwa serious khaaaaah kwa hit song gan huyo Mrs mafioso? Uwiiiiiiiiiiiiih
Waambieeeeeeh hao waeleweeeeeeh, wamuache cash madame aburuze industry ya musicHata kiba sio levo za vanessa mzee,,, angalia international act.
Hapa bongo international ni mond,rayvan,harmonise,vanessa, na atleast trappers na watu wa style hizo.
Hawa wengine kina saida karoli wanaweza kuimba na kukiki kibongo zaidi ya hao juu lakini ndo ivyo mziki wao utabaki hapahapa tu.
Kabisaaaaaaaaaaaaaaah mkuuuVanessa kumlinganisha na Alikiba kwenye nyanja ya international ni kumkosea heshima Vanessa mdee
Mmmh haya bhanaBas hausa kamzidi nandela, uwiiiiiiiiih nikisikilza cash madame najiona Boss Lady kabisaaaaaaaa
Sent using Jamii Forums mobile app
We kojoa tu mkingaji nitakinga.waleleeeeeeeeeeeeh nakojoaaaaaaaaaah yaaan huyu nandela ampite hausa kwa lipi hasa? Hebu kuwa serious khaaaaah kwa hit song gan huyo Mrs mafioso? Uwiiiiiiiiiiiiih
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee kumbe jamaa mi nilidhani mdada aniwie radhi daah.Unauelewa mwandiko wa jamaa?
Nandy miaka buku hatamfikia vee money, hata yeye analijua hiloooooh.Ni kweli Vanessa international wise kampita Nandy. Ila trust Nandy anakuja juu kwa speed ya ajabu kama hujachunguza. Na nyuma yake (management )hawa watu nawaona wako makini. Kama unavyoona anaanza east Africa taratibu but soon atafika huko. Nandy msimlinganishe na Aslay koz so far ana collabo kama mbili na wanamziki wakubwa wa Kenya. Nandy ana pambana to be honest na kwenye hii game Vanessa kamkuta so mpeni muda.
Umemalizaaaaaah haswaaaaaaaah mkuuhIngawa sio fan wa vannesa ila huyo nandy kumzifi van landa kuuza papa si kingine
Sent using Jamii Forums mobile app
So kufanya collabo na willy Paul ndo kufanikiwa? issue kubwa kwake nandy mziki anaofanya sio rafiki kwa international market tatizo ndio linaloanzia hapo ataishia kufanya vizuri hapa bongo lakini sio njeNi kweli Vanessa international wise kampita Nandy. Ila trust Nandy anakuja juu kwa speed ya ajabu kama hujachunguza. Na nyuma yake (management )hawa watu nawaona wako makini. Kama unavyoona anaanza east Africa taratibu but soon atafika huko. Nandy msimlinganishe na Aslay koz so far ana collabo kama mbili na wanamziki wakubwa wa Kenya. Nandy ana pambana to be honest na kwenye hii game Vanessa kamkuta so mpeni muda.
Nandy anasurvive Kwa kik za media tuu hasa clouds , hakuna msanii paleSo kufanya collabo na willy Paul ndo kufanikiwa? issue kubwa kwake nandy mziki anaofanya sio rafiki kwa international market tatizo ndio linaloanzia hapo ataishia kufanya vizuri hapa bongo lakini sio nje
Upo sahihi but hatua bora ni kukamata soko la ndani kwanza ndio uende nje. True Vee ana soko la nje ila ajitahidi kukamata soko la ndani piaSo kufanya collabo na willy Paul ndo kufanikiwa? issue kubwa kwake nandy mziki anaofanya sio rafiki kwa international market tatizo ndio linaloanzia hapo ataishia kufanya vizuri hapa bongo lakini sio nje
Nandy miaka buku hatamfikia vee money, hata yeye analijua hiloooooh.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tofauti ya nandy na mondi ni moja diamond ukiachana kufanya mziki wa ndani anafanya mziki wa international huyo nandy Hana mziki wa international so ni ngumu kwake kumfikia Vanessa ukiondoa yeye mwenyewe kufanya vizuri tu katika soko la international ni sawa na ngamia kupenya kwenye tundu la sindanoMambo yanabadilika sana, inawezekana mpaka leo Ali kiba haamini kama kaachwa mbali kimuziki na diamond.
Yawezekana baada ya miaka kadhaa mbele Nandy akawa Star mkubwa kuliko Vmoney.
Naona unajidanganya tyuuuh weee yaan nandy hawez kuwa juu ya vee money, kamweee haiwezkan na haitawezekana huo ndio ukweli.Mambo yanabadilika sana, inawezekana mpaka leo Ali kiba haamini kama kaachwa mbali kimuziki na diamond.
Yawezekana baada ya miaka kadhaa mbele Nandy akawa Star mkubwa kuliko Vmoney.