Herbert Nkuluzi
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 2,802
- 2,961
Kwa hivyo demokrasia ya kupeana mikono ndiyo ushahidi kuwa hii yetu ni bora kuliko ya Marekani?Huyo Mama ni wa Mwendokasi, ameonyesha kukerwa na dharau aliyooneshwa na trumpet. Trumpet ndivyo alivyo ni mtu ambaye haishiwi vituko. Kwa Demokrasia ya hivyo kwetu hatuitaki kabisa. Demokrasia gani ambayo inatengeneza chuki, dharau na kukosa say ya pamoja.
Ninachoamini ni kwamba Demokrasia nyingi hubomoa Taifa, Kama huamini wewe nenda kamdekeze mtoto wako kupita kiasi.
Na Demokrasia ya Marekani imetengenezwa kulingana na matakwa ya mila na Destuli zao ambazo nitofauti kabisa na za sisi Waafrika.
Tunawatakia kila la heri na Demokrasia zao cc na China tunapiga kazi.