42774277
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 6,835
- 8,874
Chama mbele halafu nchi inafuata. Hizi ndio akili za kile chama cha kijani.Samahani man lkn hauna akili sawa sawa, Pelosi ni Kiongozi wa Upinzani ambaye anaongoza ( Bunge) la Upinzani USA, Ndugai ni Spika wa CCM chama kinachoongoza Serikali hauoni tofauti hapo? Kama Pelosi angekuwa Chama kimoja na D.Trump hapo ungekuwa na maana lkn ni wapinzani, hata TZ kama Upinzani wangekuwa na Wabunge wengi na kutoa Spika pia Spika wao angeweza kufanya mengi zaidi, hivyo usimlaumu Ndugai hawezi kukisaliti Chama chake ataondoka mara moja.
Sent using Jamii Forums mobile app