Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,092
- 53,568
Hawa wote ni maspika wa mabunge yao.
Nachelea kusema Ndugai hawezi kuvaa viatu vya mwanamama Pelosi kwa umahiri na ushujaa wa kusimamia maslahi ya Taifa bungeni.
Inaonesha jinsi Separation of Power ilivyo na nguvu. Hakuna taasisi iliyo na nguvu dhidi ya taasisi nyingine.
Mambo yanayoendelea bunge la sasa la Tz ni aibu. Kuna wakati unatamani hata usiwe mtanzania kwa hoja na maazimio yasiyo na vichwa wala miguu.
Marehemu Sitta alijitahidi kuweka uzani sawa kama Spika wa Bunge. Huyu wa sasa ni kihoja.
Changamoto kwenu watanzania.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nachelea kusema Ndugai hawezi kuvaa viatu vya mwanamama Pelosi kwa umahiri na ushujaa wa kusimamia maslahi ya Taifa bungeni.
Inaonesha jinsi Separation of Power ilivyo na nguvu. Hakuna taasisi iliyo na nguvu dhidi ya taasisi nyingine.
Mambo yanayoendelea bunge la sasa la Tz ni aibu. Kuna wakati unatamani hata usiwe mtanzania kwa hoja na maazimio yasiyo na vichwa wala miguu.
Marehemu Sitta alijitahidi kuweka uzani sawa kama Spika wa Bunge. Huyu wa sasa ni kihoja.
Changamoto kwenu watanzania.
Sent using Jamii Forums mobile app