Namzimikia Charminglady jamani nifanyeje?

we unaempenda charminglady una sura nzuri ww? Ucje ukawa unamsumbua dada wa watu waukwel hlf we mwenyewe ni kimeo....
 
ye anakaa wapi na we umetumia njia gani?... pita sam nujoma then katiza super star atakua anakusubiri hapo

teh teh teh, umenchekesha mie. tatzo lake apenda njia za mkatiko aaha sory typing error. . njia za mkato. me nimemwambia aje kanisan kwetu amwone baba mchungaji hataki sa me nimfanyeje ??????
 
Ningekuwa nauwezo ningekunywa hata pombe ya banana nipunguze mawazo.maana usiku silali mchana hapatoshi kwa jinsi ninavyomzimikia mlimbwende huyu.nimetongoza weeee lakn ndo kwanza anazidi kutia pamba maskion.nimejaribu ni msahau imeshindikana,yaani mpaka napata wazimu.hiv hapa nina zawadi zake kibao natafuta mwanachit chat mmama wa makam ampeleke na ujumbe wa kutoka kinywa changu labda anaweza nipokea moyoni mwake.ikishindikana bas najipeleka mabwepande nikaji tiss mwenyewe

Angalia sasa huyu mdada kakimbia JF! So tafuta mwingine wa kumzimikia.
 
we ndo umesababisha shoga angu anataka jitoa jf mumuache kwanza wengne hawapend jamaniiii
 
Back
Top Bottom