Namzimikia Charminglady jamani nifanyeje?

Namzimikia Charminglady jamani nifanyeje?

Ningekuwa nauwezo ningekunywa hata pombe ya banana nipunguze mawazo.maana usiku silali mchana hapatoshi kwa jinsi ninavyomzimikia mlimbwende huyu.nimetongoza weeee lakn ndo kwanza anazidi kutia pamba maskion.nimejaribu ni msahau imeshindikana,yaani mpaka napata wazimu.hiv hapa nina zawadi zake kibao natafuta mwanachit chat mmama wa makam ampeleke na ujumbe wa kutoka kinywa changu labda anaweza nipokea moyoni mwake.ikishindikana bas najipeleka mabwepande nikaji tiss mwenyewe

tembeza pesa mkali nani..hakuna demu wa kupindua mbele ya kisu.
 
yaani KUMZIMIA tu umetangaza, UNGEMFIA je? Si tungekoma humu....... Ila ujuekuna wenzio washaKUFA na KUOZA juu ya charminglady kitaaaaaaaaambo.....
 
Last edited by a moderator:
Ningekuwa nauwezo ningekunywa hata pombe ya banana nipunguze mawazo.maana usiku silali mchana hapatoshi kwa jinsi ninavyomzimikia mlimbwende huyu.nimetongoza weeee lakn ndo kwanza anazidi kutia pamba maskion.nimejaribu ni msahau imeshindikana,yaani mpaka napata wazimu.hiv hapa nina zawadi zake kibao natafuta mwanachit chat mmama wa makam ampeleke na ujumbe wa kutoka kinywa changu labda anaweza nipokea moyoni mwake.ikishindikana bas najipeleka mabwepande nikaji tiss mwenyewe

Unamfahamu mtu anaitwa Platozoon?
 
Last edited by a moderator:
Una maana hata makorora ushamwendea?

nilimpelekea hummer nikamkabizi funguo na card ya jina lake,lakn wap?nimefanya kila niwezalo mwenzangu kwanza ndio ananifungulia mistar ya bible
 
yaani KUMZIMIA tu umetangaza, UNGEMFIA je? Si tungekoma humu....... Ila ujuekuna wenzio washaKUFA na KUOZA juu ya charminglady kitaaaaaaaaambo.....

Hiyo "kitambo" umeijazia mi "a" kibao! punguza mi "a" afu jaza mi "o" ya kutosha mwishoni !
Utakua umeitendea haki uzi .
 
Last edited by a moderator:
Charminglady hunikosha mie pia ila nahisi ni mke wa mtu
 
nenda church, pale KIRUMBA umuone mchungaji George kanisa la Jesus Restoration Church akikupa ruksa ndo uje. atakuandikia kimemo uje nacho
 
nenda church, pale KIRUMBA umuone mchungaji George kanisa la Jesus Restoration Church akikupa ruksa ndo uje. atakuandikia kimemo uje nacho

Hatimaye nimepata memo la haziz wangu mtalajiwa

Ndugu mtumishi katika bwana,Shaloom! CHAMInglady pokea ujumbe wangu huu kwamba nimepokea mgeni akitokea kwako ambaye kwakeli Mungu alinionesha ktk maombi kuwa ndiye alie muuandaa.
Aidha kwa upande wa kanisa umelidhia na unaridhika kwa moyo wote kuwa bwana wakati ndio sasa anastaili kuwa mwenza wako endapo utampenda,kwakua 1. Ni mpore.2. Ni mtiifu na mwenye hofu ya mungu 3. Ni kijana anae enenda katk bwana.ni maombi yetu mungu aruhusu mfanyike mwili mmoja.wako mchungaji wako ktk maombi
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom