Job K
JF-Expert Member
- Oct 4, 2010
- 9,315
- 7,113
Namtaka kimapenzi
Ina maana wa kwako hakutoshelezi mama? Pole sana!! Kwa nini usitafute asiyekuwa na mke? Hapo huoni kama unataka kumharibia mwenzio?
Namtaka kimapenzi
married with one kid
Ahahahahaaah!!Vizia umbake, sasa ufanyaje kama ha respond?
mmmmh hapa hapanifai ,isije kuwa unamuwinda mme wangu:coffee::sick:
Wala usimfanyie vitimbi tena, kama umemzimia mwambie halafu yeye atasema, kama hakupendi basi mwache utatia aibu bureeJamani mimi namzimia sana mume wa jirani yangu na nimefanya kila vitimbi lakini wapi nashindwa kumtia mtegoni. Madada wenzangu naombeni mbinu zaidi.
Jamani mimi namzimia sana mume wa jirani yangu na nimefanya kila vitimbi lakini wapi nashindwa kumtia mtegoni. Madada wenzangu naombeni mbinu zaidi.
so we should expect Mauti
Si ndo mimi?!, ni PM tumalizane. hata mimi nakutamani sana
Wachunaji hawako hivyo, mkopwaji huyo wa kona bar.mhhh dunia imevaa bukta:embarrassed:
Nawapongezeni wadada kwa kulivalia njuga hili suala kuokoa heshima ya mwenzenu na ndoa yake. Kusema kweli pamoja na ukiwembe wetu wanaume, lakin mazingira mengine tunalengeshewa. Naamini huyo jamaa atafanikiwa kushinda kishawishi. Najua zipo mbinu wakiamua kutumia wadada, ni wanaume wachache sn wanachomoka.
Kweli kabisa!Utakuwa hukidhi viwango anavyotaka kwa mwanamke! Kwa hiyo angalia ustaraabu mwingine tu.....Maana sisi wanaume tulivyo wadhaifu linapokuja suala la K inayojileta yenyewe, siamni hajakuchakachua bado!
Si ndo mimi?!, ni PM tumalizane. hata mimi nakutamani sana