Namzimia mume wa jirani

Namzimia mume wa jirani

Acha tamaa wewe. Kwa nini usitafute wa kwako?? Kumbuka kuna maradhi dada yangu. Heshima yako pia itadumu kama utaepukana na tamaa za ngono!!
 
Hilo ni pepo la ukahaba ndugu, hebu fikiria kama jirani angemzimia mumeo na wakafanya kiukweli ungesikiaje? kadri wewe unavyotaka kutendewa watendee na wengine vivyo hivyo. Usipoangalia na kuliendekeza hilo pepo mwisho wake si mzuri
 
Huo ni ubazazi haufai kanisani hata msikitini:sick:
 
Jamani mimi namzimia sana mume wa jirani yangu na nimefanya kila vitimbi lakini wapi nashindwa kumtia mtegoni. Madada wenzangu naombeni mbinu zaidi.

Koma Kabisa .Nitafute kwani unahitaji kuombewa ili kufunguliwa PEPO LA NGONO. Mwonee huruma huyo mke wake unayetaka kumliza na jiweke kwenye nafasi yake uone itakavyokuwa :A S-alert1::A S-alert1:MCHUNGU NGURUWE KWA BINADAMU MKUKI:A S-alert1::A S-alert1:
A%20S-alert1.gif
 
:clap2: Wanaume kama hao ndo tunaowataka, umejichoresha weeeee, huna ulichoambulia. Hehehehehe! Kakuweza kweli! yaani, humsisimui wala hata wazo na wewe hana, mkewe atakuwa kila kitu kwake na wala huoni ndani hata kwa kucha tu! Sick Sick Sick!!!!!!
 
Jamani mimi namzimia sana mume wa jirani yangu na nimefanya kila vitimbi lakini wapi nashindwa kumtia mtegoni. Madada wenzangu naombeni mbinu zaidi.

Uliza mabingwa wa kutembea na wake za watu na waume za watu huwa wanafanyaje, humu kila mtu anaogopa kukushauri na wajkati nawajua wengi wanaotembea na wake za watu na waume za watu. Ila kukupa ushauri na wewe ufanye kama wao wanakuonea donge eti mtakuwa wengi. badiri mbinu tu utampata ...
 
Dada wewe mume wa mtu sumu hasa mke akijua huwa ni hatari sanasana. Muombe mungu akupe wa kwako na wewe ummiliki kama huyo unayemuonea gere. Ila kama umekomalia ushauri wangu ni huu hapa

Anza kumsifia ukikutana nae barabarani, then vizia siku ingine kama una gari usitumie omba lifti, ukipata nafasi ya kuongea nae msifie mkewe , mtoto wake. pia kama ana mtoto mdogo anza kumzoea pia. siku nyingine ukimwona anapita jifanye na wewe unatoka msalimie muulize anaelekea wapi mida hiyo,then akishakuwa karibu kidogo tu na wewe anza kama kuomba ushauri wa kitu fulani, siku ingine ukipata nafasi ongelea umefiwa hivi hata kama uongo liaaaaaaa ataanza kukubembeleza akiwa anakubembeleza toa lile jicho flani hv, taratibu we utaona kaanza mazoea fulani ila wewe siku zote jifanye huna interest nae, Na kuulizia kama home hawajambo?mwisho kabisa mambo yatajiseti yenyewe tu wewe mtu mzima bwana.

Nashukuru kwa ushauri wako nitajitahidi.
 
Jamani mwenzenu anapata maumivu eti nyie mnamcheka, mpeni ushauri na faraja bana
 
Back
Top Bottom