Mzee wa kusawazisha
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 1,587
- 1,136
Dogo acha utoto basi, muoe huyo kama humtaki achana nae tafuta wa saizi yakoDahh!! that's why nakua nahuruma mana am sure kinaweza nitokea pia huko mbele!!!
Kujiweka busy kutokupokea sim zake ndo cwez kabisa hio labda nipoteze mawasiliano nae kabisa
lakini shida ni kwamba ana number ya simu ya mama angu mzazi na hua wanaongea sana tu japo hawajawahi kuonana.. Pia ana number za mdogo wangu__ kitu kingine ana number ya my best friend!!
Sent using Jamii Forums mobile app