Namwonea sana huruma Mpenzi wangu, Ntachomfanya atajuta kunifahamu.

Dahh!! that's why nakua nahuruma mana am sure kinaweza nitokea pia huko mbele!!!

Kujiweka busy kutokupokea sim zake ndo cwez kabisa hio labda nipoteze mawasiliano nae kabisa
lakini shida ni kwamba ana number ya simu ya mama angu mzazi na hua wanaongea sana tu japo hawajawahi kuonana.. Pia ana number za mdogo wangu__ kitu kingine ana number ya my best friend!!
Dogo acha utoto basi, muoe huyo kama humtaki achana nae tafuta wa saizi yako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dahh!! that's why nakua nahuruma mana am sure kinaweza nitokea pia huko mbele!!!

Kujiweka busy kutokupokea sim zake ndo cwez kabisa hio 🤦🏾‍♂️ labda nipoteze mawasiliano nae kabisa
lakini shida ni kwamba ana number ya simu ya mama angu mzazi na hua wanaongea sana tu japo hawajawahi kuonana.. Pia ana number za mdogo wangu__ kitu kingine ana number ya my best friend!!
Hujaamua tu, wakwangu alipoamua alikuwa busy busy. Kwakuwa na mimi niko busy ilipita miezi mitatu sijamuona lakini tunaongea. Christmas na New Year nilikuwa na vi holiday kazini nikapanga plans niwe na mupenzi ndipo nilipojua he was long gone.
 
Mkuu hakika utajuta, hio sampuli ni nadra sana BUT achana nae chap watu wachukue nafasi na sio kuendelea kukomaa nae ilihali huna plan nae

Pia hicho kitu nawaza sana mkuu! madem wa sasa hivi %kubwa wapo kimaslahi mno nahofia kutompata kama huyu ambaye ntampenda.
 
Hujaamua tu, wakwangu alipoamua alikuwa busy busy. Kwakuwa na mimi niko busy ilipita miezi mitatu sijamuona lakini tunaongea. Christmas na New Year nilikuwa na vi holiday kazini nikapanga plans niwe na mupenzi ndipo nilipojua he was long gone.

Yani roho inaniuma kwasababu hajawahi nikosea na akinikosea basi ni haraka sana anaomba samahani hata kama kosa ni langu... ila ntajitaidi tu!
 
Yani roho inaniuma kwasababu hajawahi nikosea na akinikosea basi ni haraka sana anaomba samahani hata kama kosa ni langu... ila ntajitaidi tu!
Make up your mind utakuwa nae au unamuacha? Ukitaka kumuua nyani usimuangalie usoni.

Kwenye ndoa za amani na furaha ni umpate mwanamke anaekupenda. Atayavumilia mapungufu yako yote, iwe pesa, tendo la ndoa au kunuka mdomo.

Wengi wanaishi navwanawake wasiowapenda lakini wamewazoea kwakuwa mke anampenda kufa.

Fikiria mmegombana hamuongei ndani ya nyumba lakini amesikia mama yako ni mgonjwa amekimbia na kumuwahisha hospitali. Anamnunulia night dress mpya na vitenge, mswaki, lotion . Ukienda kumuona mama yako mwenyewe roho inaridhika ingawa ni mgonjwa lakini ni msafi.

Girl friend tafuta mzuri lakini tafuta mke anae kuelewa.
 
Make up your mind utakuwa nae au unamuacha? Ukitaka kumuua nyani usimuangalie usoni.

Kwenye ndoa za amani na furaha ni umpate mwanamke anaekupenda. Atayavumilia mapungufu yako yote, iwe pesa, tendo la ndoa au kunuka mdomo.

Wengi wanaishi navwanawake wasiowapenda lakini wamewazoea kwakuwa mke anampenda kufa.

Fikiria mmegombana hamuongei ndani ya nyumba lakini amesikia mama yako ni mgonjwa amekimbia na kumuwahisha hospitali. Anamnunulia night dress mpya na vitenge, mswaki, lotion . Ukienda kunuona mama yako mwenyewe roho inaridhika ingawa ni mgonjwa lakini ni msafi.

Girl friend tafuta mzuri lakini tafuta mke anae kuelewa.

Ushauri wako ni mzuri sana 🤦🏾‍♂️kiukwel she love me then ni mcheshi yan anajielewa marafiki zangu huniambia nikiachana nae cto pata kama huyo kitu ambacho ndo kinanifanya niwe mwoga kufanya maamuzj magumu 🤦🏾‍♂️ mana naweza mwacha aende but end of the day nikataka kurudi ikawa mtu ashachukua dodo
 
Tunaumiza wanaotupenda na kuumizwa na tunaowapenda.
Ni heri umwambie ukweli mchungu kama ulivyosema apo juu,kuwa hata ukimuoa hutakuwa na furaha zaidi ndoa itaishia kuwa chungu kuliko kumwacha tuu hewani wakati hajawahi kukukosea chochote anaweza ata kupoteza uhai wake.
 
Habari wanaJF, am sure mkopoa sana ndugu zangu..

LET NIENDE KWENYE MADA MOJA KWA MOJA..

Wakati nipo chuo nilibahatika kupata mpenzi ambae kiukwel nilimtongoza kwa kujaribu tu lakini chakushangaza ni kwamba akanikubalia tu bila kujua sikua serious... nikaona isiwetabu nikawa nae kwenye mahusiano mpaka wakati huu naandika hii thread ndo mpenzi wangu actually pamoja na kwamba michepuko ipo lakini yeye ndo amekua currently kwa sababu
1)Hajawahi kuniomba pesa ingawa me ndo nikiwa nakipengele nikimwambia nashida na pesa huwa ananipa bila kinyongo_

2)Hana michepuko hii ni kwasababu naweza kukaa nasimu yake hata siku 3 na nisigundue chochote licha ya yeye kukuta sana sms za michepuko kwenye simu yangu_

3)She care about me
yani nikimwambia siko poa au naumwa yupo tayari kuacha kazi zake zote nakuja kunihudumia

4)Ni mtam yani papuchi ake hua ananipa muda wowote kiukwel hua naenjoy sana mapenzi yke

SHIDA NI NINI_

Shida ni kwamba pamoja na hayo yote ni kwamba nafsi yangu haijaridhia na wala sidhani kama naweza kumuoa yeye... Yani am sure ananipenda sana but kwa kweli cfikilii kumuoa yeye kabisa

SABABU NI NINI_

Sababu ni kwamba amenizidi umri, chapili ni kwamba amenizidi urefu kitu ambacho sijakipenda kwa kweli
chatatu ni kwamba simpendi tu alivyo...

So nimekua nikiwaza sana jinsi ya kumuacha' yan namuonea sana huruma kwa kua yeye anafikili me ndo mwanaume wake wa maisha' kitu ambacho hakipo kabisa kwenye akili yngu...

Naombeni ushauli ndugu zangu' nitumie mbinu gani kumuacha huyu bidada mana kwa umli wake sasa hivi anahitaji ndoa~~ while binafsi kuoa sio leo wala kesho,, na hata nikitaka kuoa siwezi kumuoa yeye'
Wanawake wachache sana ambao wapo kama huyo hakika ipo siku utamkumbuka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari wanaJF, am sure mkopoa sana ndugu zangu..

LET NIENDE KWENYE MADA MOJA KWA MOJA..

Wakati nipo chuo nilibahatika kupata mpenzi ambae kiukwel nilimtongoza kwa kujaribu tu lakini chakushangaza ni kwamba akanikubalia tu bila kujua sikua serious... nikaona isiwetabu nikawa nae kwenye mahusiano mpaka wakati huu naandika hii thread ndo mpenzi wangu actually pamoja na kwamba michepuko ipo lakini yeye ndo amekua currently kwa sababu
1)Hajawahi kuniomba pesa ingawa me ndo nikiwa nakipengele nikimwambia nashida na pesa huwa ananipa bila kinyongo_

2)Hana michepuko hii ni kwasababu naweza kukaa nasimu yake hata siku 3 na nisigundue chochote licha ya yeye kukuta sana sms za michepuko kwenye simu yangu_

3)She care about me
yani nikimwambia siko poa au naumwa yupo tayari kuacha kazi zake zote nakuja kunihudumia

4)Ni mtam yani papuchi ake hua ananipa muda wowote kiukwel hua naenjoy sana mapenzi yke

SHIDA NI NINI_

Shida ni kwamba pamoja na hayo yote ni kwamba nafsi yangu haijaridhia na wala sidhani kama naweza kumuoa yeye... Yani am sure ananipenda sana but kwa kweli cfikilii kumuoa yeye kabisa

SABABU NI NINI_

Sababu ni kwamba amenizidi umri, chapili ni kwamba amenizidi urefu kitu ambacho sijakipenda kwa kweli
chatatu ni kwamba simpendi tu alivyo...

So nimekua nikiwaza sana jinsi ya kumuacha' yan namuonea sana huruma kwa kua yeye anafikili me ndo mwanaume wake wa maisha' kitu ambacho hakipo kabisa kwenye akili yngu...

Naombeni ushauli ndugu zangu' nitumie mbinu gani kumuacha huyu bidada mana kwa umli wake sasa hivi anahitaji ndoa~~ while binafsi kuoa sio leo wala kesho,, na hata nikitaka kuoa siwezi kumuoa yeye'

Muombe akupe tigo. Akikataa jidai ume maindi muachane na kama akikibali maindi pia na umtuhumu ndo michezo yake wewe huiwezi ila ulikua unataka kujua tu umejua anatoa ndogo unamuacha.
 
Habari wanaJF, am sure mkopoa sana ndugu zangu..

LET NIENDE KWENYE MADA MOJA KWA MOJA..

Wakati nipo chuo nilibahatika kupata mpenzi ambae kiukwel nilimtongoza kwa kujaribu tu lakini chakushangaza ni kwamba akanikubalia tu bila kujua sikua serious... nikaona isiwetabu nikawa nae kwenye mahusiano mpaka wakati huu naandika hii thread ndo mpenzi wangu actually pamoja na kwamba michepuko ipo lakini yeye ndo amekua currently kwa sababu
1)Hajawahi kuniomba pesa ingawa me ndo nikiwa nakipengele nikimwambia nashida na pesa huwa ananipa bila kinyongo_

2)Hana michepuko hii ni kwasababu naweza kukaa nasimu yake hata siku 3 na nisigundue chochote licha ya yeye kukuta sana sms za michepuko kwenye simu yangu_

3)She care about me
yani nikimwambia siko poa au naumwa yupo tayari kuacha kazi zake zote nakuja kunihudumia

4)Ni mtam yani papuchi ake hua ananipa muda wowote kiukwel hua naenjoy sana mapenzi yke

SHIDA NI NINI_

Shida ni kwamba pamoja na hayo yote ni kwamba nafsi yangu haijaridhia na wala sidhani kama naweza kumuoa yeye... Yani am sure ananipenda sana but kwa kweli cfikilii kumuoa yeye kabisa

SABABU NI NINI_

Sababu ni kwamba amenizidi umri, chapili ni kwamba amenizidi urefu kitu ambacho sijakipenda kwa kweli
chatatu ni kwamba simpendi tu alivyo...

So nimekua nikiwaza sana jinsi ya kumuacha' yan namuonea sana huruma kwa kua yeye anafikili me ndo mwanaume wake wa maisha' kitu ambacho hakipo kabisa kwenye akili yngu...

Naombeni ushauli ndugu zangu' nitumie mbinu gani kumuacha huyu bidada mana kwa umli wake sasa hivi anahitaji ndoa~~ while binafsi kuoa sio leo wala kesho,, na hata nikitaka kuoa siwezi kumuoa yeye'
Wewe ni miongoni mwa wale anaowasema Faiza Fox kwamba mnaenda shule kujifunza ujinga
 
Back
Top Bottom