Namwonea sana huruma Mpenzi wangu, Ntachomfanya atajuta kunifahamu.

nakushauri chapa lapa tu.....if a man has never loved a woman...then he shall never ever love her....iyo ndio principle....huna mapennz naye na hakuna siku yatakuja......ungekuwa mwanamke sawa...nimemaliza
 
You should be a professor of women affairs

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu pamoja na kwamba humpendi huyo mwanamke ila utakuja kumpenda na kumkumbuka sana siku ukipata mwanamke mwingine na atakuwa akijurudiarudia akilini mwako kwa kuwa hakukutenda ubaya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…