makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 28,182
- 81,105
Nimemuelewa mkuu, nimeelewa ni nini cha kufanya that's why nimetulia tu nasoma replays za wenye nia njema na wanoleta utan kwenye kitu serious.
Isee nakuomba mkuu usiichezee bahati jmn,,, tafadhari nakuomba, maana hizo bahati ni za wachache na nimarachache kujitokeza ktk maishaNimemuelewa mkuu, nimeelewa ni nini cha kufanya that's why nimetulia tu nasoma replays za wenye nia njema na wanoleta utan kwenye kitu serious.
Sawa kabisa, umetumia hekima sana mkuu.Mimi ni ngali kijana wa saizi ya kati bado umri haujaenda sana,
Shukrani mkuu, tuko pamoja natumai atakuwa ameelewa kama hajaelewa ni kama ulivyosema ww mkuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtoa mada ulichoandika kinaakisi maisha yangu kabisa nimepitia hili na mm pia nilisoma nae chuo amenipita 5yrs
Nilijaribu kila njia kumuacha ilishindikana ila kiukweli alinipenda Kwetu anajulikan na baadhi ya ndg na kwasasa nina mtt nae mmoja
Baada ya kukaa na kutafakar sanaa nimeon ni bora mwanamke akupende walau utaishi nasemea hili kwasababu
ijapokuwa ninamapungufu meng lakin ameyabeba na anaakili ya maisha sana
nakushauri kabla ya kufanya maamuzi ya kumuacha jipe muda wa kufikir
Au rafuta demu unayempend kweli alafu ingia naye kwenye mahusiano ndipo utakapo jua kuna tofauti kati ya kupenda na kupendwa
Kila kher bro
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwambie "atakatekuoa atakufaidi sana".Hebu niambie mkuu namuachaje huyu mdada hebu nipe technic!!
Hahahhaha tungependa kupata nusu ya ujuzi wako hahahaMkuu usipate tabu nipe mimi uyo mwanamke nimchukue mazima, cha kufanya nipm tu namba yake mengine niachie mimi. Na ninakuhakikishia ndani ya siku mbili atakuja kukuacha yeye mwenyewe. Sijisifii ila kwenye sekta ya kutongoza wanawake nipo vizuri sana natongoza mpaka mwanamke analia, kamasi zinatoka akitoka hapo anaenda chooni kuharisha.
"Typed with my thumbs."
We BWANA SOSI ushauri huu hapa na hii ndo njia pekee.Anza kupunguza ukaribu, uwe busy kila akikupigia wewe una kazi lakini ahidi kumtafuta ukiwa free, ikipita mwezi mmoja miwili ataelewa somo.
NB: the law of life your time will come, you will fall in love with a person who doesn’t have feelings for you. That’s the way it’s.
BWANA SOSI nakuelewa sana,hata mumi ilinikuta hivyo,nilipata mwanamke ananipenda mchapa kazi na kwetu wanamjua ila moyoni mwangu nilikua najua sioi wala sio type yangu,kilichonisaidia aliteleza akacheat nikashindilia hapo hapo,ila kwa sasa ni rafiki yangu na ananipaga michongo ya bizness napata hela akijua tutakua pamoja again ila mm sithubutu kwakua najua sina plan nae sitaki kumharibia maisha wala kuziba rizki kwa watu wanaompenda kweli
Sent using Jamii Forums mobile app
BWANA SOSI nakuelewa sana,hata mumi ilinikuta hivyo,nilipata mwanamke ananipenda mchapa kazi na kwetu wanamjua ila moyoni mwangu nilikua najua sioi wala sio type yangu,kilichonisaidia aliteleza akacheat nikashindilia hapo hapo,ila kwa sasa ni rafiki yangu na ananipaga michongo ya bizness napata hela akijua tutakua pamoja again ila mm sithubutu kwakua najua sina plan nae sitaki kumharibia maisha wala kuziba rizki kwa watu wanaompenda kweli
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahah huyo utasubiri sana mkuu.fanya kama Sky alivyoshauri.Dah kumbe tupo wengi!! ngoja na me nasubili chance kama hiyo !
Hahaha nilifrahi kwakua kazi ilikua laini sana.dah hio situation ya kucheat nadhani ulishangilia badala ya kuhuzunika.
Sent using Jamii Forums mobile app