Namwonea sana huruma Mpenzi wangu, Ntachomfanya atajuta kunifahamu.

Wewe Umemchoka sema Sio kwamba humpendi alichokosea ni kukupa Dudu yake mara nyingi hadi umeichoka

Malipo ni hapa Hapa Duniani Mbinguni ni kuimba Tuuu
 
Mtoa mada ulichoandika kinaakisi maisha yangu kabisa nimepitia hili na mm pia nilisoma nae chuo amenipita 5yrs
Nilijaribu kila njia kumuacha ilishindikana ila kiukweli alinipenda Kwetu anajulikan na baadhi ya ndg na kwasasa nina mtt nae mmoja
Baada ya kukaa na kutafakar sanaa nimeon ni bora mwanamke akupende walau utaishi nasemea hili kwasababu
ijapokuwa ninamapungufu meng lakin ameyabeba na anaakili ya maisha sana
nakushauri kabla ya kufanya maamuzi ya kumuacha jipe muda wa kufikir
Au rafuta demu unayempend kweli alafu ingia naye kwenye mahusiano ndipo utakapo jua kuna tofauti kati ya kupenda na kupendwa
Kila kher bro

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtoa mada ulichoandika kinaakisi maisha yangu kabisa nimepitia hili na mm pia nilisoma nae chuo amenipita 5yrs
Nilijaribu kila njia kumuacha ilishindikana ila kiukweli alinipenda Kwetu anajulikan na baadhi ya ndg na kwasasa nina mtt nae mmoja
Baada ya kukaa na kutafakar sanaa nimeon ni bora mwanamke akupende walau utaishi nasemea hili kwasababu
ijapokuwa ninamapungufu meng lakin ameyabeba na anaakili ya maisha sana
nakushauri kabla ya kufanya maamuzi ya kumuacha jipe muda wa kufikir
Au rafuta demu unayempend kweli alafu ingia naye kwenye mahusiano ndipo utakapo jua kuna tofauti kati ya kupenda na kupendwa
Kila kher bro

Sent using Jamii Forums mobile app

Kwahyo mkuu unataka kuniambia huyo mwanamke ndo umemuoa?? au baada ya kuwaza sana ulifikia wapi!
 
Mkuu usipate tabu nipe mimi uyo mwanamke nimchukue mazima, cha kufanya nipm tu namba yake mengine niachie mimi. Na ninakuhakikishia ndani ya siku mbili atakuja kukuacha yeye mwenyewe. Sijisifii ila kwenye sekta ya kutongoza wanawake nipo vizuri sana natongoza mpaka mwanamke analia, kamasi zinatoka akitoka hapo anaenda chooni kuharisha.

"Typed with my thumbs."
Hahahhaha tungependa kupata nusu ya ujuzi wako hahaha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anza kupunguza ukaribu, uwe busy kila akikupigia wewe una kazi lakini ahidi kumtafuta ukiwa free, ikipita mwezi mmoja miwili ataelewa somo.

NB: the law of life your time will come, you will fall in love with a person who doesn’t have feelings for you. That’s the way it’s.
We BWANA SOSI ushauri huu hapa na hii ndo njia pekee.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
BWANA SOSI nakuelewa sana,hata mumi ilinikuta hivyo,nilipata mwanamke ananipenda mchapa kazi na kwetu wanamjua ila moyoni mwangu nilikua najua sioi wala sio type yangu,kilichonisaidia aliteleza akacheat nikashindilia hapo hapo,ila kwa sasa ni rafiki yangu na ananipaga michongo ya bizness napata hela akijua tutakua pamoja again ila mm sithubutu kwakua najua sina plan nae sitaki kumharibia maisha wala kuziba rizki kwa watu wanaompenda kweli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
BWANA SOSI nakuelewa sana,hata mumi ilinikuta hivyo,nilipata mwanamke ananipenda mchapa kazi na kwetu wanamjua ila moyoni mwangu nilikua najua sioi wala sio type yangu,kilichonisaidia aliteleza akacheat nikashindilia hapo hapo,ila kwa sasa ni rafiki yangu na ananipaga michongo ya bizness napata hela akijua tutakua pamoja again ila mm sithubutu kwakua najua sina plan nae sitaki kumharibia maisha wala kuziba rizki kwa watu wanaompenda kweli

Sent using Jamii Forums mobile app
dah hio situation ya kucheat nadhani ulishangilia badala ya kuhuzunika.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
BWANA SOSI nakuelewa sana,hata mumi ilinikuta hivyo,nilipata mwanamke ananipenda mchapa kazi na kwetu wanamjua ila moyoni mwangu nilikua najua sioi wala sio type yangu,kilichonisaidia aliteleza akacheat nikashindilia hapo hapo,ila kwa sasa ni rafiki yangu na ananipaga michongo ya bizness napata hela akijua tutakua pamoja again ila mm sithubutu kwakua najua sina plan nae sitaki kumharibia maisha wala kuziba rizki kwa watu wanaompenda kweli

Sent using Jamii Forums mobile app

Dah kumbe tupo wengi!! ngoja na me nasubili chance kama hiyo !
 
Watu wengi humu wamekua wakinibeza kwenye swala la kutofautiana kimo, niwaambie tu hakuna kitu kizuri kama kua comfortable ukiongozana na mkeo!!
 
12 Reactions
Reply
Back
Top Bottom