Hivi kuna uwezekano huyu dada akaachishwa kazi katika BARAZA la mapinduzi na kuletwa kwenye BARAZA la mawaziri la JMT? Namwona kama ana uwezo mkubwa sana wa kumsaidia Rais wa Jamuhuri ya Muungano katika SHUGHULI za kila siku za kulijenga hili Taifa.
Je, kuna uwezekano waziri akateuliwa kwenye Baraza la Mawaziri la JMT na hivyo automatically kuachana na nafasi huko SMZ?
Sent from my TECNO CI6 using JamiiForums mobile app
Je, kuna uwezekano waziri akateuliwa kwenye Baraza la Mawaziri la JMT na hivyo automatically kuachana na nafasi huko SMZ?
Sent from my TECNO CI6 using JamiiForums mobile app