Chibati
Senior Member
- Jul 28, 2015
- 150
- 212
Nasema.,namwona Rais JPM mpya mwenye sura tofauti na niliyoizoea kumwona. Nimeona ongea yake jana wakati akiliongela swala la ukusanyaji mapato kwa hawa TRA,na pia sura aliyoionyesha wakati akitoa pole msibani kwa Mh. Peter Msigwa na alivyokuwa anamwita Mh. Lema. Ni dhahiri JPM kuna kitu naona kinambadirisha.
Sitoshangaa na naiona siku akienda Airport kumpokea Mh. Tundu Lissu na kumpa pole kwa maswahibu yaliyomkuta na kuwaacha wale wapiga zumari wa CCM wasijue pa kuficha nyuso zao. SIASA ni mchezo tu kama wa karata.,ukitaka kushinda zichange mwenyewe,ramba madume yote...mchezo umeumaliza kwa ushindi. Stay tuned!
Sent using Jamii Forums mobile app
Sitoshangaa na naiona siku akienda Airport kumpokea Mh. Tundu Lissu na kumpa pole kwa maswahibu yaliyomkuta na kuwaacha wale wapiga zumari wa CCM wasijue pa kuficha nyuso zao. SIASA ni mchezo tu kama wa karata.,ukitaka kushinda zichange mwenyewe,ramba madume yote...mchezo umeumaliza kwa ushindi. Stay tuned!
Sent using Jamii Forums mobile app