Mzalendo wa ukweli
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 559
- 149
Kwani kuoa inaoa familia yako au jamii??? Wewe fuata kile moyo wako unakutuma,ukiamua kumuoa binafsi sioni tatizo coz watoto sio tatizo hata kidogo wala hawawezi kuzuia mtu kuoa.Ndoa ni yako wewe na yeye wala sio familia yako wala jamii.Ukitaka kufanya kila jambo kwa kusikiliza jamii na familia yako wanasemaje itafika mahali utashindwa kufanya mambo mengine maishani.