Nina miaka 28 sasa, nimesoma mpaka chuo kikuu na shahada ya Business Administration nimeshuhudia jinsi marafiki zangu walivyowakimbilia kina dada wa chuo eti uchumba wakati tunasoma na wengi wao waliishia kubwaga, hali hi ilinikatisha tamaa kabisa na niliapa sitokaa nioe mwanamke alosoma.
sasa imetokea kumpenda dada aliye na watoto 3 aliachika kwa mmewe ananipenda ajabu nami nampenda zaidi, anataka nimuoe, kweli nampenda lakini najiuliza jamii na familia yangu watanielewaje? naomba ushauri wana JF
sasa imetokea kumpenda dada aliye na watoto 3 aliachika kwa mmewe ananipenda ajabu nami nampenda zaidi, anataka nimuoe, kweli nampenda lakini najiuliza jamii na familia yangu watanielewaje? naomba ushauri wana JF