residentura
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 7,029
- 9,623
Ndugu yangu Pascal Mayalla naomba nikusihi jambo moja tu.
Ukipata nafasi yoyote ya kuwatumikia Watanzania, tafadhali sana nakuomba ufanye jitihada zako zote za kuhakikisha unatetea kuimarika kwa mifumo ambayo itawawezesha wananchi wa kawaida kwa ujumla wao kunufaika na utumishi wako.
Mimi naamini uwezo unao.
Mimi naamini nia unayo.
Mimi naamini sababu unayo.
Tafadhali sana ndugu P, hebu tuungane katika kulifanyia taifa hili pendwa kitu ambacho kitawasaidia hata vitukuu vya kila Mtanzania kujivunia uwepo wetu hapa duniani.
Ukipata nafasi yoyote ya kuwatumikia Watanzania, tafadhali sana nakuomba ufanye jitihada zako zote za kuhakikisha unatetea kuimarika kwa mifumo ambayo itawawezesha wananchi wa kawaida kwa ujumla wao kunufaika na utumishi wako.
Mimi naamini uwezo unao.
Mimi naamini nia unayo.
Mimi naamini sababu unayo.
Tafadhali sana ndugu P, hebu tuungane katika kulifanyia taifa hili pendwa kitu ambacho kitawasaidia hata vitukuu vya kila Mtanzania kujivunia uwepo wetu hapa duniani.