Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 82,942
- 96,701
Kwasasa ni chizi kabisaHuyu kishakuwa funza. Huyu ni hasara kubwa. Huenda wazazi wake walitegemea atakuwa mtu wa maana, mwenye akili timamu, lakini bahati mbaya ndiyo ameishia hapa.
Ukiwa na mtoto kama huyu, ndiyo waswahili husema, siyo riziki. Maana ni binadamu jina.