Namuona Mchengerwa akifika mbali sana kiuongozi kutokana na uchapa kazi wake

Huyo bibi angekuwa mzalendo angechukua hongo DpWorld? Mbona hajibu hoja za Bandari kama angekuwa mzalendo wa kweli! Amebakia kuwatumia polisi kukamata wale wote wanaompinga!
Mzalendo wa kweli asingeiba mali za nchi na kuzificha uarabuni.
Kama nilikwambia wewe ni kipofu huoni utaendelea kubwabwaja tu.
Narudia tena kukwambia kuwa acha kumchafua mh Rais wetu. Acha kuandika vitu ambavyo huna hata ushahidi navyo zaidi ya kupotosha tu.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Tuseme ukweli tu ndugu zangu kuwa Mchengerwa ni mchapa kazi sana, Ni Jembe kwelikweli, Ni hadhina kwa Taifa ,Ni Nyota inayong'aa kwa kasi, Ni kiongozi mwenye kiu ya kutaka kuona wananchi wanapata huduma iliyo bora,wanapata haki,wanatendewa haki, wanasikilizwa,wanapokewa vizuri maofisini na kuhudumiwa vizurii sana. Ukiangalia ni kiongozi ambaye amefanya vizuri na kuacha alama katika kila wizara aliyopita .sote tunakumbuka namna watumishi wa umma walivyosikitika alipo hamishwa kutoka Utumishi.

Ni kiongozi mwenye ari ya kazi na anayejituma sana,ni kiongozi ambaye hasubiri kusukumwa au kukumbushwa majukumu na wajibu wake na Ni kiongozi jasiri na anayejiamini sana.Namuona kama hadhina kwa Taifa letu katika masuala ya uongozi na Namuona akifika mbali sana kiuongozi.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627.
Na mimi nataka kuwa chawa kama wewe, utaratibu ukoje? Wanalipaje? Connection ina anzaje
 
Ndugu zangu Watanzania,

Tuseme ukweli tu ndugu zangu kuwa Mchengerwa ni mchapa kazi sana, Ni Jembe kwelikweli, Ni hadhina kwa Taifa ,Ni Nyota inayong'aa kwa kasi, Ni kiongozi mwenye kiu ya kutaka kuona wananchi wanapata huduma iliyo bora,wanapata haki,wanatendewa haki, wanasikilizwa,wanapokewa vizuri maofisini na kuhudumiwa vizurii sana. Ukiangalia ni kiongozi ambaye amefanya vizuri na kuacha alama katika kila wizara aliyopita .sote tunakumbuka namna watumishi wa umma walivyosikitika alipo hamishwa kutoka Utumishi.

Ni kiongozi mwenye ari ya kazi na anayejituma sana,ni kiongozi ambaye hasubiri kusukumwa au kukumbushwa majukumu na wajibu wake na Ni kiongozi jasiri na anayejiamini sana.Namuona kama hadhina kwa Taifa letu katika masuala ya uongozi na Namuona akifika mbali sana kiuongozi.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627.
Hili neno "hadhina" nimeona umelirudia kama mara mbili ulikua unataka kusema nini?

Ama ulitaka kusema ni Hazina
 
Ndugu zangu Watanzania,

Tuseme ukweli tu ndugu zangu kuwa Mchengerwa ni mchapa kazi sana, Ni Jembe kwelikweli, Ni hadhina kwa Taifa ,Ni Nyota inayong'aa kwa kasi, Ni kiongozi mwenye kiu ya kutaka kuona wananchi wanapata huduma iliyo bora,wanapata haki,wanatendewa haki, wanasikilizwa,wanapokewa vizuri maofisini na kuhudumiwa vizurii sana. Ukiangalia ni kiongozi ambaye amefanya vizuri na kuacha alama katika kila wizara aliyopita .sote tunakumbuka namna watumishi wa umma walivyosikitika alipo hamishwa kutoka Utumishi.

Ni kiongozi mwenye ari ya kazi na anayejituma sana,ni kiongozi ambaye hasubiri kusukumwa au kukumbushwa majukumu na wajibu wake na Ni kiongozi jasiri na anayejiamini sana.Namuona kama hadhina kwa Taifa letu katika masuala ya uongozi na Namuona akifika mbali sana kiuongozi.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627.
Utahangaika sana kwa unafiki wa kusifia watu ili kupata mlo.

Uhakika wa mlo wako upo katika kufanya kazi kwa weledi kuliko kuhangaika kusifia watu, kuwa mnafiki na mwingo kama ulivyo.

Kama maisha yamekushinda sana, mfuate Mchengerwa binafsi, mwombe kazi hata ya kuwa garden boy. Itakusaidia kichwa chako kuwa na utulivu.
 
Kwenye hizi insha zako , uwe unafanya proofreading . Kuna makosa mengi ya kisarufi , ikiwemo kurudia neno kila baada ya sentensi mbili au tatu. Maneno kama ndugu zangu, kiongozi umeyarudia rudia sana. Na sio insha hii tu . Ni nyingi unazoleta humu. Pia aya zimeshikana sana. Off topic , kuna mdau kauliza je, una ulemavu wowote?
 
Wewe chawa bado upo? Utageuka kuwa Kiroboto!

Unajua kuwa huyo bwana ndio anampa usingizi binti yake mama Abdul?
Huyu kishakuwa funza. Huyu ni hasara kubwa. Huenda wazazi wake walitegemea atakuwa mtu wa maana, mwenye akili timamu, lakini bahati mbaya ndiyo ameishia hapa.

Ukiwa na mtoto kama huyu, ndiyo waswahili husema, siyo riziki. Maana ni binadamu jina.
 
Huyu kishakuwa funza. Huyu ni hasara kubwa. Huenda wazazi wake walitegemea atakuwa mtu wa maana, mwenye akili timamu, lakini bahati mbaya ndiyo ameishia hapa.

Ukiwa na mtoto kama huyu, ndiyo waswahili husema, siyo riziki. Maana ni binadamu jina.
Watu wengine wamelaaniwa kama huyu
 
Utahangaika sana kwa unafiki wa kusifia watu ili kupata mlo.

Uhakika wa mlo wako upo katika kufanya kazi kwa weledi kuliko kuhangaika kusifia watu, kuwa mnafiki na mwingo kama ulivyo.

Kama maisha yamekushinda sana, mfuate Mchengerwa binafsi, mwombe kazi hata ya kuwa garden boy. Itakusaidia kichwa chako kuwa na utulivu.
Mimi siishi kwa kulishwa na mtu au kupitia jukwaa hili bali naishi kwa jasho langu kwa kufanya kazi kwa bidii, juhudi na maarifa.
 
Utahangaika sana kwa unafiki wa kusifia watu ili kupata mlo.

Uhakika wa mlo wako upo katika kufanya kazi kwa weledi kuliko kuhangaika kusifia watu, kuwa mnafiki na mwingo kama ulivyo.

Kama maisha yamekushinda sana, mfuate Mchengerwa binafsi, mwombe kazi hata ya kuwa garden boy. Itakusaidia kichwa chako kuwa na utulivu.
Nchi imekuwa ya kijinga sn, watu hawataki kufanya kazi tena wanaishi kwa uchawa
 
Back
Top Bottom