johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,290
- 142,490
- Thread starter
- #21
Mnyasa aliyetelekezwa uchagani.........tunamkumbuka Kambona!bora hata iliyoharibika imesitiriwa, lakini hizi zimeleta majanga sana nchi hii
Mnyasa aliyetelekezwa uchagani.........tunamkumbuka Kambona!bora hata iliyoharibika imesitiriwa, lakini hizi zimeleta majanga sana nchi hii
Unajua kuwa mwenyekiti wako alitoroka milembe???
Hahaha komredi ndiyo nini sasa ?Unajua kuwa mwenyekiti wako alitoroka milembe???
Hapa unatetemekea Ukatibu wa Bashiru hadi unamtaja Mungu kwenye mambo ya kijinga ya chama chenu. wewe ni "Team Kujipendekeza"?Uko Ufipa mnaendeleza team Lowassa........ Hahahaa membe anakuja huko!
Njooni Kwangu Ninyi Nyote Wenye Kulemewa Na Mizigo Ya Dhambi Nami
Chama Changu Ccm Kimejaa Majizi
I'm sorry brother ila hawa wajinga ni kuwajibu kadri ya ujinga waoHahaha komredi ndiyo nini sasa ?
Kinana alipo anachekelea, mlinyanyasa sana kipindi cha mwisho, akishauri mnamwambia hampangiwi.
Huyu Bashiru atawafaa sana kwani ccm hamnaga shukrani, vinginevyo mngewaheshimu Nape na Kinana walioteseka kukijenga chama kilicho kosa imani kwa wananchi hadi ilikuwa aibu kuvaa kijani
(ccm)Chama cha mafalaKizazi cha vilaza kiko Ufipa!
Hahahahahahahahaaa.......I'm sorry brother ila hawa wajinga ni kuwajibu kadri ya ujinga wao
(ccm)Chama cha mafala
PohambaSasa anaeshindwa kumtoa fala Madarakani anaitwaje kwenu?
Wewe unajua kama huyo wako ni mrundi??Unajua kuwa Mwenyekiti wako ni Mnyasa?
Na huyo mrundi tumkumbuke nani??Mnyasa aliyetelekezwa uchagani.........tunamkumbuka Kambona!
Mwenzio Mwita Waitara kajipendekeza leo yuko Tamisemi na amepiga marufuku vidimi vyenu kushinda kwenye vitindi vya ulanzi. Lowassa ameshawapa salamu zenu lakini?!Hapa unatetemekea Ukatibu wa Bashiru hadi unamtaja Mungu kwenye mambo ya kijinga ya chama chenu. wewe ni "Team Kujipendekeza"?
HahahahaPohamba
Yule anakumbukwa na Mbowe huko aliko KIDEBENI!Na huyo mrundi tumkumbuke nani??
Na ndio hao wanaowanyesha videbeni sasa sijui fala ni nani hapo!(ccm)Chama cha mafala
Team kujipendekeza jipendekeze hadi uolewe kule LumumbaYule anakumbukwa na Mbowe huko aliko KIDEBENI!
Unakumbuka Mwita wakati anajiunga CHADEMA akitokea kuwa Katibu wa UVCCM Mkoa wa Tanga?Mwenzio Mwita Waitara kajipendekeza leo yuko Tamisemi