johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,947
- 141,922
Nafasi ya Katibu Mkuu wa CCM imekuwa na changamoto nyingi tokea enzi za mwalimu Nyerere na siku za karibuni ni kama changamoto zinazidi kuongezeka kwa kasi.
Katibu mkuu wa CCM ndio injini ya chama hivyo mtendaji huyo anapaswa kuwa makini sana kwa kila hatua anayochukua na anapaswa kufuata kanuni na taratibu katika kila jambo atendalo.
Mimi namkubali sana Dr Bashiru lakini kitendo cha kuwasikiliza vijana wa mtaani akina Mchange vinaweza kumtengenezea mlango wa kutokea kama ilivyokuwa kwa Mkama.
Dr Bashiru ni mjamaa lakini CCM ya leo bado imekumbatia mabepari ambao ni rahisi sana kuwatumia mchange type kukuchonganisha na kukutengenezea mlango wa kurejea The hill.
Nimeyasema haya katika roho, mbarikiwe sana katika Dunia ya leo vijana ndio wachawi siyo wazee!
Katibu mkuu wa CCM ndio injini ya chama hivyo mtendaji huyo anapaswa kuwa makini sana kwa kila hatua anayochukua na anapaswa kufuata kanuni na taratibu katika kila jambo atendalo.
Mimi namkubali sana Dr Bashiru lakini kitendo cha kuwasikiliza vijana wa mtaani akina Mchange vinaweza kumtengenezea mlango wa kutokea kama ilivyokuwa kwa Mkama.
Dr Bashiru ni mjamaa lakini CCM ya leo bado imekumbatia mabepari ambao ni rahisi sana kuwatumia mchange type kukuchonganisha na kukutengenezea mlango wa kurejea The hill.
Nimeyasema haya katika roho, mbarikiwe sana katika Dunia ya leo vijana ndio wachawi siyo wazee!