Namuhitaji huyu

Namuhitaji huyu

pole mkuu kwa kuwa muoga.... panapo majaaliwa utapata wako
 
Confidence huna....kaka tatizo sio kilema....mbona uko fit tu.
 
Yaan ungejua hauna upungufu usingepost kaka ..ww upo vzurii basi tu haujiamini ...mm nakushaurii mfate demu unayempenda mpe maneno hatokataa
 
Kumbe hata hujavunjika wala kutenguka kiuno?

Unamtaka anayejua dini ipi? Jiamini na yeyote utakayempenda usiogope kumwambia pia Mwombe Mungu utampata.
 
usiogope mkuu, tiririka tuu.

Kila lakheri kwao mkuu
 
na mungu akijalie kwani mm naiman maisha nipopote mungu hamputi mja wake i wish u the best bro.
 
Be smart tuu bana mungu atasaidia pls wadada msaidieni ndugu yetu
 
Tafuta pesaaaa wanawake tuko wengii kama ninyi ila pesa ndio chachee hivyo itafute kwanza. By z way nipo ila vigezo vyako sijavfikia badoo umeviweka juu saana
 
khaaaaaah mi nkajua huna dudu unataka mtu wakukupikia kumbe ni kitu kidogo hicho, weww muibukie hata miss world kesho huna shida
 
Jaribu kupotezea kidogo swala la mwenza. Elekeza mashambulizi kwenye kusaka fedha, ukizipata wekeza kwenye vitu vya kudumu, mfano: majumba. Baada ya hapo wenza lukuki watakufuata, na wewe utachagua mmoja utakayeona anakufaa. Kila la heri, ndugu.
 
Pole mkuu utampata tu wa kufanana na wewe...udomo zege imekuwa tatizo kwa baadhi ya sisi wanaume. unakuta kijana anampenda mwanamke anashindwa kumwambia anaishia kuumia rohoni na kula kwa macho. kila binadamu ana mapungufu yake.
 
Ndio matatizo ya kusoma sana bila kujichanganya na jamii unakuja kupata shida ukubwani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom