Namuacha shemeji yenu!

Sahihi kabisa nimewaza hivyo pia
 
Wanakuelewa sasa wenzio wako busy kulelewa
 
Hamna kitu kinakera wasichana km neno "sina hela" toka kwa mpenziwe/ mumewe. Sawa kuna wakati kweli mtu anaishiwa maana huyo siyo bakheresa, lakin hilo neno kila unapoombwa hela wewe ni huna aiseee hilo penzi halina uhai.. M'mke anaekupenda kweli hata ukimhudumia kidgo anaridhika tofauti na hapo jiandae kukimbiwa. Na kuna wanaume wengine wenyew ht wakiwa nacho bado neno sina hela haliishi na hata akikupa basi atakupa na maneno maneno.
 
Wanakuelewa sasa wenzio wako busy kulelewa
Uhalisia ndio huo, ni ngumu kuelewa lakini ndio ukweli ulivyo wengi tunabaki kusema one day yes one day yes na hatuoneshi juhudi zozote za kujituma kutafuta hela, kweli one day yes tutabaki na hali zetu ngumu.

Huwa nasema tutafute hela sio kwa sababu ya mwanamke, tutafute hela kuboresha uchumi wetu kwa faida ya sasa na baadae.
 
Ndio hao wanaume mizigo ambao wengi wanajificha kwenye kivuli cha wanawake wanapenda pesa. Mwanaume mzima anakosa hata buku mfukoni na anaona ni sawa tu wala haoni wivu kwa wenzie wanaochangamka wapate chochote kitu. Vijana wa kiume sijui wana shida gani siku hizi
 
Ni changamoto mno wapo wengi tu mtaani, wengine ukiwashirikisha mishe mishe hawatak wanachagua kazi. Mtu anashinda ndani siku nzima alafu anategemea apate kazi kweli?
 
Wanawake si mnasemaga ""no one is perfect"" hasa hasa pale tunapo wa bananisha sasa hapa tuna kushauri nini zaidi ya kukuambia acha kutafuta wanaume wenye hela maana utakuja ulie na kujutia sana.
 
Wewe ridhika tu na U- handsome wake! Pesa nenda katafute kwa mwanaume mwingine. Mwanaume mmoja hawezi kukupa kila kitu unachokitaka
 
Kama kakujibu ntag
 
Wewe ridhika tu na U- handsome wake! Pesa nenda katafute kwa mwanaume mwingine. Mwanaume mmoja hawezi kukupa kila kitu unachokitaka
Huu nao ni ushauri,ndio kwamba figa moja haliivishi chakula eeeh[emoji3][emoji3][emoji3] atatumika sana adi sehemu zake ziwake moto
 
πŸ˜†πŸ˜† kaoge kwenu sina hela
 
Wanawake wengi wakiswahili mapenzi kwao ni biashara, yeye ana kipato chake na huyo mpenzi wake amuombi pesa sasa shida ipo wapi hapo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…