Namtamani bosi wangu

Namtamani bosi wangu

Ndiyo hawa ambao TUNASEMA AKILI ZAO ZINAWAZA NGONO TU.... BURE KABISA!!!

Unakiri ni kibarua, umeoa una mke; nilitaraji ungeitumia akili yako VIZURI UKAFANYA KAZI KWA BIDII, AKAWEKA AKIBA NA KUIMARISHA UCHUMI WA FAMILIA, WEWE UNAKUJA HAPA UNATAKA MSAADA WA KUSEX NA HR WAKO....

Yaani uko tayari kuweka kibarua rehani na kuhatarisha USTAWI WA FAMILIA YAKO KWA TAMAA AMBAYO MANUFAA YAKE NI YA DAKIKA CHACHE TU!!!!

Kwa hakika una KUCHWA NDANI KOPO KABISA!!!

Kama ingekuwa mimi ndiyo huyu HR ni kuhakikisha ukiisogeza PUA nakulima KALAMU NYEKUNDI tena nakufungulia CHARGE SHEET na kukufukuza kazi kwa fedheha!!!

Na NOTICE juu kwenye MAGAZETI Kuwa FULANI BIN FULANI SII MFANYAKAZI WA TAASISI HII TENA NA TAASISI HAITAHUSIKA NA...... nadhani unaelewa!!!!

Wanaume wa hivi ndiyo wale walioko tayari kuweka REHANI USTAWI WA FAMILIA ZAO KWA AJILI YA NGONO.....
Umemfokea sana. Umefanya vizuri...

Lakini tukumbuke hili. Kwamba, binadamu tumeumbwa na utashi wa kuchagua. Bahati mbaya ni kubwa, tumeachana Mungu na kujielekeza kutumia utashi wetu vibaya kwa kupenda mabaya na uovu na mwisho tukaangamia...

Mauti au uzima; Laana au Baraka

Actually, kwa mawazo yake tu haya, it's evident that, this guy is not matured, ni kijana asiye na akili..

Mwacheni azame katika hisia zake mbaya na hatari hizo...

This guy winderboy amechagua MAUTI na LAANA kwake yeye na familia yake. Angekuwa na akili na ufahamu angechagua BARAKA na UZIMA ulio katika Yesu Kristo...

Mpaka hapo, Baba yake Mungu muumba sijui asaidiaje sasa maana amepewa choice mapema ili achague kilicho sahihi na salama kwake...

Lakini Unfortunately, anaelekea kuchagua kuangamiza kila kitu chake na familia yake...!

winderboy usifikiri huo uzinzi/uasherati wako unaouwaza utakuathiri wewe tu. Utaumiza na kuharibu kila kitu chako; familia yako, watoto wako, uchumi wako, fedha zako na rafiki zako...!

Haraka sana fanya retreatment. Omba Mungu akupe neema ya kuichukia dhambi hiyo ili usiitende...

Geuza macho yako. Mtazame na mpende mkeo tu kwenye eneo la ngono...

Angalia na tengeneza maisha yako. Epuka huo mtego wa Ibilisi utakaoharibu maisha yako forever...!
 
Wakuu kama kichwa cha hapo juu. Kwanza mmeamkaje, hapa kazini napo fanya kazi nina miezi kama mitatu au minne tangia nianze kazi meneja(HR )wetu kampuni x ni mwanamke mweupe pee una nywele ndefu una unene wa kuvutia ila pisi kali kweli kweli yaani ni mdada wa ukweli hasa.

Siku nilioanza kazi tu nilikuwa naye ofisini akinipa majukumu yangu ya kazi nilimtamani kweli kweli hadi leo,ila nashindwa kumwambia nahofia kibarua changu kitaota nyasi maana sijui atapokea vipi voko zangu nimebaki kumtumbulia macho tu ya wizi wizi afu sina ela ya kumuonga maana hapa mimi ni kibarua tu ila huyo mdada yupo poa TU.

Wakuu nipeni mbinu za kujiripua nimtokee vipi kama upo umu tambua unapendwa sana mfanya kaz wako ila mimi nimeoa nina uwezo wa kupiga mashine kweli kweli na hautoniacha maana mimi ni fundi nakupenda sana ila nashindwa kukwambia afu sina ela
Angalia Uzi wa rikiboy utajifunza mengi
 
Back
Top Bottom