Namtamani bosi wangu

Namtamani bosi wangu

Usichezee kazi, katika vitu hutakiwi kufanya mzaha navyo ni kile kinachokupa kula yako.

Mbona wanawake wamejaa sana mkuu, tena siku hizi unatumia nguvu ndogo mno kuwapata.

Usijihusishe na ngono maeneo yafuatayo;
1. Kazini
2. Jirani na nyumbani au mtaani kwako.
3. Kanisani/msikitini.
4. ...
Labda bado hujamla mama mchungaji, ni watamu halafu wanajua sana kujificha......kabla ya kufanya naye uzinzi anashusha kwanza maombi halafu wakati unamchakata anaweka muziki wa dini ,we acha tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo HR hafanyi kazi wizara ya maji kweli, mikoa ya kusini?
 
Fanya kazi mkuu acha kuleta mapenzi unajua athari mbaya "Ufanisi wa kazi utashuka na pia heshima itapotea."Ni hayo tu Armando wa Mabibo.
 
Wakuu kama kichwa cha hapo juu. Kwanza mmeamkaje, hapa kazini napo fanya kazi nina miezi kama mitatu au minne tangia nianze kazi meneja(HR )wetu kampuni x ni mwanamke mweupe pee una nywele ndefu una unene wa kuvutia ila pisi kali kweli kweli yaani ni mdada wa ukweli hasa.

Siku nilioanza kazi tu nilikuwa naye ofisini akinipa majukumu yangu ya kazi nilimtamani kweli kweli hadi leo,ila nashindwa kumwambia nahofia kibarua changu kitaota nyasi maana sijui atapokea vipi voko zangu nimebaki kumtumbulia macho tu ya wizi wizi afu sina ela ya kumuonga maana hapa mimi ni kibarua tu ila huyo mdada yupo poa TU.

Wakuu nipeni mbinu za kujiripua nimtokee vipi kama upo umu tambua unapendwa sana mfanya kaz wako ila mimi nimeoa nina uwezo wa kupiga mashine kweli kweli na hautoniacha maana mimi ni fundi nakupenda sana ila nashindwa kukwambia afu sina ela
Hauna hela hizo hisia za mapenzi unatoa wapi
 
Akili huna ,,naona hata kuandika hujui, zoba kama zoba wengine tuu.,
Nyie ni watu wabaya syna🤣🤣🤣🤣
Mwacheni kijana ajaribu bahati yake ashinde au afe kishujaa😂😂
 
Wakuu kama kichwa cha hapo juu. Kwanza mmeamkaje, hapa kazini napo fanya kazi nina miezi kama mitatu au minne tangia nianze kazi meneja(HR )wetu kampuni x ni mwanamke mweupe pee una nywele ndefu una unene wa kuvutia ila pisi kali kweli kweli yaani ni mdada wa ukweli hasa.

Siku nilioanza kazi tu nilikuwa naye ofisini akinipa majukumu yangu ya kazi nilimtamani kweli kweli hadi leo,ila nashindwa kumwambia nahofia kibarua changu kitaota nyasi maana sijui atapokea vipi voko zangu nimebaki kumtumbulia macho tu ya wizi wizi afu sina ela ya kumuonga maana hapa mimi ni kibarua tu ila huyo mdada yupo poa TU.

Wakuu nipeni mbinu za kujiripua nimtokee vipi kama upo umu tambua unapendwa sana mfanya kaz wako ila mimi nimeoa nina uwezo wa kupiga mashine kweli kweli na hautoniacha maana mimi ni fundi nakupenda sana ila nashindwa kukwambia afu sina ela
Wacha uoga dogo

Kumtongoza mwanamke sio jinai, huwezi fukuzwa kazi
Tegemea majibu mawili kukubaliwa na kukataliwa
 
Najua unataka kulelewa ila utalia soon....vyote utakosa hapo.Pia muwe na huruma na ndoa za watu....unadhani huo uzuri ndo unamwona wewe tu...ana wake huyo embu mwache usimshawishi....aache kulea familia aanze kukufuata fuata wewe,kukuwaza wewe...aanze kumchukia mume wake au mpenz wake....eti nayajua mapenz....kujua kwio!!!
Acha roho mbaya....
 
Uwoga wako ndiyo umasikini wako... Ngoja waje kukupa muongozo...
 
Acha upumbavu kijana. Ndo maana wanaume ni dhifu sana siku hizi. Mwanamke kakuzidi hela unabwabwaja. Kama we mwanaume mtokee kweli bila kujali nini kitatokea. Ila we mwenyewe unajua una mapungufu (huna hele mzee baba) ndo maana unaweweseka.
Daah
 
achana na wanawake watakumalizia nguvu zako za kiume, za kimwili, za kifedha na kiroho. In short watakunyonya ubaki kama mfupa wa panya. Cha msingi KUBALI MAPUNGUFU YAKO, RAHISISHA MAHITAJI YAKO, ONGEZA KIPATO CHAKO NA UCHUNGE TAMAA MBAYA!!!!!
 
Wakuu kama kichwa cha hapo juu. Kwanza mmeamkaje, hapa kazini napo fanya kazi nina miezi kama mitatu au minne tangia nianze kazi meneja(HR )wetu kampuni x ni mwanamke mweupe pee una nywele ndefu una unene wa kuvutia ila pisi kali kweli kweli yaani ni mdada wa ukweli hasa.

Siku nilioanza kazi tu nilikuwa naye ofisini akinipa majukumu yangu ya kazi nilimtamani kweli kweli hadi leo,ila nashindwa kumwambia nahofia kibarua changu kitaota nyasi maana sijui atapokea vipi voko zangu nimebaki kumtumbulia macho tu ya wizi wizi afu sina ela ya kumuonga maana hapa mimi ni kibarua tu ila huyo mdada yupo poa TU.

Wakuu nipeni mbinu za kujiripua nimtokee vipi kama upo umu tambua unapendwa sana mfanya kaz wako ila mimi nimeoa nina uwezo wa kupiga mashine kweli kweli na hautoniacha maana mimi ni fundi nakupenda sana ila nashindwa kukwambia afu sina ela
Ndo maana huna hela. kichwani zero
 
Unaambiwa usichezee kazi, chezea mshahara. Kama boss wako ndo hawa hawa wakina Kajala Masanja, kazi unayo
 
Back
Top Bottom