masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 17,882
- 13,171
Ni wazi Raia Odinga 'Baba' atashinda uchaguzi mkuu utakaofanyika huko Kenya hivi karibuni.
Raila amepigana hiyo vita toka enzi za baba yake Oginga Odinga, na sasa inafika hitimisho.
Nampongeza na Uhuru kwa kufanya uteuzi wa mgombea ulio sahihi kwa Kenya.
Miaka 10-20 ijayo sifa hii iatwabeba wakenya, kama sisi Tanzania tulivyo ondoa matatizo ya ukabila.
Ruto ana kaharufu kasiko faa.
Tuhuma za corruption, wizi , uuaji , hazimbebi kuongoza Taifa la Kenya.
Raila amepigana hiyo vita toka enzi za baba yake Oginga Odinga, na sasa inafika hitimisho.
Nampongeza na Uhuru kwa kufanya uteuzi wa mgombea ulio sahihi kwa Kenya.
Miaka 10-20 ijayo sifa hii iatwabeba wakenya, kama sisi Tanzania tulivyo ondoa matatizo ya ukabila.
Ruto ana kaharufu kasiko faa.
Tuhuma za corruption, wizi , uuaji , hazimbebi kuongoza Taifa la Kenya.