Raila Odinga asema hakubaliani na ushindi wa Uhuru Kenyataa japo mahakama imesema ni halali

real G

JF-Expert Member
Feb 7, 2013
5,227
5,287
KENYA: Kiongozi wa Upinzani, Raila Odinga amesema bado hakubaliani na ushindi wa Uhuru Kenyatta japo Mahakama ya Juu imesema ulikua halali

Ameeelezea alikuwa anatarajia uamuzi huo wa mahakama na haishangazi kwa kuwa wametishiwa ili kutoa uamuzi huo, na pia hawailamu mahakama ila wanaisikitia
 
KENYA: Kiongozi wa Upinzani, Raila Odinga amesema bado hakubaliani na ushindi wa Uhuru Kenyatta japo Mahakama ya Juu imesema ulikua halali

Ameeelezea alikuwa anatarajia uamuzi huo wa mahakama na haishangazi kwa kuwa wametishiwa ili kutoa uamuzi huo, na pia hawailamu mahakama ila wanaisikitia
Huyu jamaa huwa anaimani na kuisifia mahakama akishinda yeye tu
 
Raila alicheza pata potea alipoamua kususia uchaguzi. Akalee wajukuu tu sasa. Wajaluo hamtashika madaraka ya urais nchini Kenya.
 
Pumbavu kabisa,nenda kapumzike kwa yule rafiki yako tanzania muugulie wote maumivu ya kupigwa za chembe
 
Komaa tu mzee raila, tutafika!
FB_IMG_1511189897024.jpg
 
Atazingua sana kabla aje kutulia, ila mahakama imeamua, taratibu zote za kisheria na kidemokrasia zimefuatwa na kuzingatiwa. Hapo nahisi atasumbua hadi basi na inawezekana mkamuapisha huko maana yuko Tanzania, walishasema kwamba Uhuru akiapishwa na yeye ataapishwa, sasa kwa vile ni swahiba wenu huko Bongo, mnaweza mkamuapisha....hehehe

Anyway, ni wakati wa kuendelea na ujenzi wa nchi, hizi siasa bana..
 
Atazingua sana kabla aje kutulia, ila mahakama imeamua, taratibu zote za kisheria na kidemokrasia zimefuatwa na kuzingatiwa. Hapo nahisi atasumbua hadi basi na inawezekana mkamuapisha huko maana yuko Tanzania, walishasema kwamba Uhuru akiapishwa na yeye ataapishwa, sasa kwa vile ni swahiba wenu huko Bongo, mnaweza mkamuapisha....hehehe

Anyway, ni wakati wa kuendelea na ujenzi wa nchi, hizi siasa bana..

Msituingize kwenye matatizo yenu, Raila amekuja kama mtu binafsi. Unataka na sisi tusema hivyo hivyo kwa Tundu Lissu?
 
Urafiki wake na magufuli umemgharimu pakubwa!

Wakenya hawako tayari kutawaliwa kiimla (dictatorship)
 
Back
Top Bottom