real G
JF-Expert Member
- Feb 7, 2013
- 5,227
- 5,287
KENYA: Kiongozi wa Upinzani, Raila Odinga amesema bado hakubaliani na ushindi wa Uhuru Kenyatta japo Mahakama ya Juu imesema ulikua halali
Ameeelezea alikuwa anatarajia uamuzi huo wa mahakama na haishangazi kwa kuwa wametishiwa ili kutoa uamuzi huo, na pia hawailamu mahakama ila wanaisikitia
Ameeelezea alikuwa anatarajia uamuzi huo wa mahakama na haishangazi kwa kuwa wametishiwa ili kutoa uamuzi huo, na pia hawailamu mahakama ila wanaisikitia