Goodluck7 Member Mar 4, 2022 6 8 Dec 6, 2023 #1 Wakuu habari ya kushinda, samahani naomba kwa aliye na mwenyeji wa mfanyabiashara wa samaki ama dagaa wa ziwa victoria aniunganishe naye. Namba yangu ni 0623197340 naomba anitafute nina mazungumzo kidogo
Wakuu habari ya kushinda, samahani naomba kwa aliye na mwenyeji wa mfanyabiashara wa samaki ama dagaa wa ziwa victoria aniunganishe naye. Namba yangu ni 0623197340 naomba anitafute nina mazungumzo kidogo
Melki the Storyteller JF-Expert Member May 3, 2022 5,701 9,779 Dec 6, 2023 #2 Kwani wewe upo mkoa gani? Mwanza, Mara ama Kagera. Mitaa ipi? Tuanzie hapa kwanza
Goodluck7 Member Mar 4, 2022 6 8 Dec 6, 2023 Thread starter #3 Melki the Storyteller said: Kwani wewe upo mkoa gani? Mwanza, Mara ama Kagera. Mitaa ipi? Tuanzie hapa kwanza Click to expand... Mara
Melki the Storyteller said: Kwani wewe upo mkoa gani? Mwanza, Mara ama Kagera. Mitaa ipi? Tuanzie hapa kwanza Click to expand... Mara
Goodluck7 Member Mar 4, 2022 6 8 Dec 6, 2023 Thread starter #4 Melki the Storyteller said: Kwani wewe upo mkoa gani? Mwanza, Mara ama Kagera. Mitaa ipi? Tuanzie hapa kwanza Click to expand... Nipo mkoa wa Mara
Melki the Storyteller said: Kwani wewe upo mkoa gani? Mwanza, Mara ama Kagera. Mitaa ipi? Tuanzie hapa kwanza Click to expand... Nipo mkoa wa Mara
Melki the Storyteller JF-Expert Member May 3, 2022 5,701 9,779 Dec 6, 2023 #5 Goodluck7 said: Nipo mkoa wa Mara Click to expand... Tungeungana, sema ni kwa vile tu ninyi wakurya ni wakorofi sana na pia ni watu wa kujikweza na kujisikia
Goodluck7 said: Nipo mkoa wa Mara Click to expand... Tungeungana, sema ni kwa vile tu ninyi wakurya ni wakorofi sana na pia ni watu wa kujikweza na kujisikia
Kinumbo JF-Expert Member Dec 8, 2019 2,742 4,932 Dec 7, 2023 #6 Acha hizo mkuu, usimuhukumu mtu kutokana na kabila lake. Yeye kuwa Mkurya haimaanishi kuwa ana hizo tabia. Melki the Storyteller said: Tungeungana, sema ni kwa vile tu ninyi wakurya ni wakorofi sana na pia ni watu wa kujikweza na kujisikia Click to expand...
Acha hizo mkuu, usimuhukumu mtu kutokana na kabila lake. Yeye kuwa Mkurya haimaanishi kuwa ana hizo tabia. Melki the Storyteller said: Tungeungana, sema ni kwa vile tu ninyi wakurya ni wakorofi sana na pia ni watu wa kujikweza na kujisikia Click to expand...
Goodluck7 Member Mar 4, 2022 6 8 Dec 7, 2023 Thread starter #7 Melki the Storyteller said: Tungeungana, sema ni kwa vile tu ninyi wakurya ni wakorofi sana na pia ni watu wa kujikweza na kujisikia Click to expand... Mkuu,sdhani kama wakurya wote wapo hivo ndugu yangu Kwa upande wangu mm sina tatizo
Melki the Storyteller said: Tungeungana, sema ni kwa vile tu ninyi wakurya ni wakorofi sana na pia ni watu wa kujikweza na kujisikia Click to expand... Mkuu,sdhani kama wakurya wote wapo hivo ndugu yangu Kwa upande wangu mm sina tatizo