kyagata
JF-Expert Member
- Oct 18, 2016
- 13,913
- 25,953
Hamna hata,nilimfuata tu kama ticha nikamweleza naumwa na sina kitu kabisaAlikufanyia utu. Mlikuwa mnafahamiana hapo kabla ya wewe kuumwa?
Hamna hata,nilimfuata tu kama ticha nikamweleza naumwa na sina kitu kabisaAlikufanyia utu. Mlikuwa mnafahamiana hapo kabla ya wewe kuumwa?
Alikuwa na chembe chembe fulani za utu, kumbe ulimfuata kumuomba msaada, naye akakusaidia. Vizuri.Hamna hata,nilimfuata tu kama ticha nikamweleza naumwa na sina kitu kabisa
Amehama yuko Kagera ni Afsa ElimuYupo Ndanda Sekondari, ni Mwl mkuu..
Ni kaimu mkurugenzi mtendajiAmehama yuko Kagera ni Afsa Elimu
Hongera kwakeNi kaimu mkurugenzi
Kitengo cha Uafisa elimu shule za sekondari?Jamaa huyo hapo, angalia signature yake.kala kitengo
Uliwahi kusoma pale?Amehama yuko Kagera ni Afsa Elimu
Kaimu mkurugenzi mtendaji wa bodi ipi?Ni kaimu mkurugenzi mtendaji
Wa bodi au wa halmashauri ya wilaya?Ni kaimu mkurugenzi mtendaji
Ndiyo mkuuUliwahi kusoma pale?
Mmmh ya kweli hayo? Basi huenda na maisha yake pia yalikuwa yanafuatiliwa na hao walimu.Huyu mbwa sitomsahau pale NDABO, ukiliona gari lake tu akilo inakaa sawa, sometimes anaacha gari lake halafu mwenyewe anaondoka, hapo kila mwanafunzi ni mwendo wa kufuata sheria tu kumbe mwenyewe hayupo.
Alikuwa anawabana sana Wanafunzi na walimu wake, Hadi walimu wakawa wanaikimbia shule maana sio kwa complications hizo
Anajagua usafi hadi kwenye nyumba za walimu na akikuta chafu anakuchana mbele ya familia yako.
Anafuatilia hadi maisha ya walimu mf, mahusiano nk

