Alexism
JF-Expert Member
- Aug 14, 2011
- 3,423
- 2,045
Wana Jf kama kuna mtu yuko tayari kufanya biashara kwa ubia(ushirikiano) katika mambo yafuatayo.BAR,SALOON,DUKA,CAFETERIA etc.
Sehemu ya kuendeshea biashara hii ni mkoa wa Kagera-Bukoba vijijini karibu na branch ya St.Augustin University Nkindo.
Sehemu za kutumia (nyumba/vyumba) nimeisha jenga na umeme tayari by now nimefungua grocery na sehemu ya kuenyeshea mpira kupitia Dstv ambayo nayo imeanza kufanya kazi.
Mwenye kuwa tayari anakaribishwa na kama huko tayari ni pm.
Sehemu ya kuendeshea biashara hii ni mkoa wa Kagera-Bukoba vijijini karibu na branch ya St.Augustin University Nkindo.
Sehemu za kutumia (nyumba/vyumba) nimeisha jenga na umeme tayari by now nimefungua grocery na sehemu ya kuenyeshea mpira kupitia Dstv ambayo nayo imeanza kufanya kazi.
Mwenye kuwa tayari anakaribishwa na kama huko tayari ni pm.