Wanaomjua wanakuja muda si mrefu mpendwa wangu wakupatie taarifa zakeWapendwa habarini.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Nnaomba kwa anayemjua anipatie namba yake pm. Tafadhali sana .
Asanteni
Nicas ni best yangu na nna number yake ila mie mgeni humu jf, nauliza PM ndio kitu gani.Wapendwa habarini.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Nnaomba kwa anayemjua anipatie namba yake pm. Tafadhali sana .
Asanteni
Kama VP mtafute fbWapendwa habarini.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Nnaomba kwa anayemjua anipatie namba yake pm. Tafadhali sana .
Asanteni
Kwanini usiweke details muhimu kama chuo alichosoma na mwaka aliomaliza!!! Ili kama kuna mtu anayejua mtu mwingine aliyemaliza huko akusaidie kuuliza??Wapendwa habarini.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Nnaomba kwa anayemjua anipatie namba yake pm. Tafadhali sana .
Asanteni
Rafiki yangu wa chuo. Sina jinsi ya kumtafuta nimeona nimlete hapa kama kuna mtu anamjua anipatie namba yake.
Kwanini usiweke details muhimu kama chuo alichosoma na mwaka aliomaliza!!! Ili kama kuna mtu anayejua mtu mwingine aliyemaliza huko akusaidie kuuliza??
Duc In Altum.