Ebwanaee hao jamaa bado wanapatika hapahapa kwa Azizi AlyNawatafuta jamaa zangu Kambale na Mamba wanakaa Mtoni...
Kwani wao mamba au masamaki mpaka wakae mtoniNawatafuta jamaa zangu Kambale na Mamba wanakaa Mtoni...
Ebwanaee hao jamaa bado wanapatika hapahapa kwa Azizi Aly
Poa mkuu ujumbe ume fika, ila utakuja lini kutu tembelea? Maana kwasasa matope yamepungua hapa mtoniBasi waambie nawatafuta sana aisee....