Domhome
JF-Expert Member
- Jun 28, 2010
- 3,197
- 3,930
Huyu dada tulipata kusoma naye, Ukwamani Shule ya Msingi huko Gairo.
Baadaye yeye alijiunga na Kilakala Girls nami nikaenda Tanga Tech School.
Wakati tukiwa Shule enzi hizo alikuwa anatumia anuani yenye S.L.P 70 Kimamba.
Baadaye yeye alijiunga na Kilakala Girls nami nikaenda Tanga Tech School.
Wakati tukiwa Shule enzi hizo alikuwa anatumia anuani yenye S.L.P 70 Kimamba.
Kama kuna yeyote humu jamvini ana habari zake anijuze tafadhali!! au iwapo kuna member humu anaweza niunganisha na jamaa yeyote wa Kimamba, Kilosa nitashukuru sana