Askof Mstaafu
JF-Expert Member
- Jun 28, 2018
- 924
- 4,584
Safi sana. Ukioa mwanamke aliyekwisha zalishwa unakuwa na UHAKIKA kuwa unaoa mwanamke mwenye kizazi!

Sent using Jamii Forums mobile app
Safi sana. Ukioa mwanamke aliyekwisha zalishwa unakuwa na UHAKIKA kuwa unaoa mwanamke mwenye kizazi!

Nasikitika sana kuwa hujapata hata like kwa point kubwa kama hii.Kwa upande wangu huwa sioni mwanamke kuweka vigezo viiiingi. Wewe kikubwa omba Mungu tu upate mume bora siyo mara awe amejiajiri sijui mavituvitu gani!
Yann yote hayo? Mwanaume anaweza akawa na vyote hvo lakin bado asiwe mume bora wa kutunza familia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Haha...nje ya nyumba?Mngekuwa mnatumia nguvu hivihivi kutetea mema tungekuwa mbali sana. Bahati mbaya utetezi huu uko nje.
Hayo maandishi ni ukweli mchungu.Kuwa mpole mdogo wangu...hayo maandishi yote unavutwa PM.
Hujastuka tu.