Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 24,030
- 71,251
Shukran Dada .Asante sana kaka yangu, umeusema ukweli wote wa moyo wangu, ubarikiwe sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Shukran Dada .Asante sana kaka yangu, umeusema ukweli wote wa moyo wangu, ubarikiwe sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Mitandao jamii ina faida na hasara.Binasfi huwa nashangaa wanawake wanao tafuta wanaume kwenye mitandao hasa humu jamiiforums, dharau zimejaa humu.
Haina faida .Mkuu umeongea point mwenyezi akubariki sana! Lakini nina shaka usije ukawa ni wewe ndo mtoa mada umekuja Kwa I'd nyingine kujitetea
Sent using Jamii Forums mobile app
Unatafuta uzinzi huku jamii forum???Habari za jioni wapendwa wana jamii foramu
Naamini mu wazima
Mimi si mgeni jamii forum ni mfuatiliaji wa mada mbali mbali japo naingiaga Kama guest user, baada ya kusoma visa na mikasa mingi leo rasmi nimeamua kutengeneza akaunti kwa lengo moja tu la kutafuta mwenzi wa maisha kama second chance.
Kwa wale mlioowa na kuolewa na bado mkadumu katika ndoa Mungu awabariki na awazidishie upendo milele.
Niliolewa kabisaa lakini kuna mambo mazito hasa yalinikumba ndoa ikavunjika baada ya uwezekano wa kurekebishika ulipogonga mwamba.
Kwa muda wote niliokaa peke yangu nimetafakari kwa kina sana na kuamua kutafuta mwanaume ambaye anaweza kunipenda iili baadaye awe mume.
Sifa zangu
-Ni mdada naejituma, mcha Mungu na naejiheshimu
-Ni msomi na najiweza kiuchumi
-Umri wangu upo chini ya miaka 30
-Umri wa utoto na kurukaruka ulishapita, najielewa na najua nachokitaka.
-Nina mtoto mmoja
Sifa za mwanaume
-Awe Mkristo asiyetumia pombe
-Awe asiyependa anasa (sipo tayari kusex naye hadi hapo tutakapo weka kiapo)
-Mwenye uthubutu katika mambo ya maendeleo ( asiye amini sana masuala ya kuajiriwa zaidi sana awe na malengo ya kujiajiri mana matajiri wengi ni wale waliojiajiri)
-Mchapakazi mchapakazi mchapakazi
-Awe amekomaa kiakili, asiwe toz mvaa milegezo na ambaye bado anataka kurukaruka na vibinti
-mwenye upendo sana, kuheshimu na kujali utu.
Huyu namkaribisha tuwe marafiki wenye malengo
Sent using Jamii Forums mobile app
WEWE NI AINA YA WANAWAKE AMBAO HUWA NAPENDA WAIJAZE DUNIA YETU.
SINA SHAKA ULIACHANA NA BABA MTOTO WAKO KWASABABU TU ULIAMUA KUTAFUTA UHURU WA MAISHA YAKO YENYE AMANI NA FURAHA.
SINA SHAKA KWAMBA HAKUA MTU SAHIHI KWAKO NAKWAMBA HATA YEYE MWENYEWE HAKUTOSHA MIZAN YAKO ALIPOJIPIMA.
NMEKUPENDA SABABU.
MCHA MUNGU( hata kama unweza kua umeongopa ila kitendo cha kumtaja Mungu kinatosha.)
UNAJIELEWA KWA UJUMLA LINAPOKUJA SUALA LA MAISHA .
UMEZAA LAKINI BADO UNAJIAMIN KIASI KWAMBA BADO UNAHITAJI MWANAUME ANAUEKUFAA NASIO TU KUTAFUTA MWANAUME KISA UMEZAA .
NIKUAMBIE...HUMU NDANI KUMEJAA WAPIGAJI. WATAFUTA UCHI NA WAAMBUKIZA UKIMWI WATU WENGINE..
HAWA WAKIJA UTAWATAMBUA KWA MANENO YAO ..UTASIKIA
Umezaa lkn unamashariti
Punguza masharit umeshazaa
Kwa ufupi ni MIJAUME ,MIJINGA MIJINGA, MIMALAYA, YENYE UKIMWI AMBAYO ITALAZIMISHA KUKUFANYA UJIONE "DHAIFU" ILI ULEGEZE, UWE NA HURUMA MWISHOOOOOOOO IKIPATA UCHI ISEPE.
NANYINYI MIJANAUME MIJINGA MIJINGA, MIMALAYA AMBAYO KWENU MPO KUUNGUZA WATU.
HUYU MWANAMKE MUMUACHANE, ITS BETTER KUTULIA TUUU NASIO KUMFATA NA KUZIDI KUMUHARIBIA .
MAMA TULIA. USIWE NA HOFU, UMRI BADO NAHATA UNGEKUA UMESONGA AMINI NAKUAMBIA KUNA WAKAT MUNGU ABAKUSUBIRISHA ILI AKUPE FURAHA YENYE KUDUMU NA AMBAYO ITAKUA YAKO DAIMA.
bhana,wasalimie sana Dodoma!Habari za jioni wapendwa wana jamii foramu
Naamini mu wazima
Mimi si mgeni jamii forum ni mfuatiliaji wa mada mbali mbali japo naingiaga Kama guest user, baada ya kusoma visa na mikasa mingi leo rasmi nimeamua kutengeneza akaunti kwa lengo moja tu la kutafuta mwenzi wa maisha kama second chance.
Kwa wale mlioowa na kuolewa na bado mkadumu katika ndoa Mungu awabariki na awazidishie upendo milele.
Niliolewa kabisaa lakini kuna mambo mazito hasa yalinikumba ndoa ikavunjika baada ya uwezekano wa kurekebishika ulipogonga mwamba.
Kwa muda wote niliokaa peke yangu nimetafakari kwa kina sana na kuamua kutafuta mwanaume ambaye anaweza kunipenda iili baadaye awe mume.
Sifa zangu
-Ni mdada naejituma, mcha Mungu na naejiheshimu
-Ni msomi na najiweza kiuchumi
-Umri wangu upo chini ya miaka 30
-Umri wa utoto na kurukaruka ulishapita, najielewa na najua nachokitaka.
-Nina mtoto mmoja
Sifa za mwanaume
-Awe Mkristo asiyetumia pombe
-Awe asiyependa anasa (sipo tayari kusex naye hadi hapo tutakapo weka kiapo)
-Mwenye uthubutu katika mambo ya maendeleo ( asiye amini sana masuala ya kuajiriwa zaidi sana awe na malengo ya kujiajiri mana matajiri wengi ni wale waliojiajiri)
-Mchapakazi mchapakazi mchapakazi
-Awe amekomaa kiakili, asiwe toz mvaa milegezo na ambaye bado anataka kurukaruka na vibinti
-mwenye upendo sana, kuheshimu na kujali utu.
Huyu namkaribisha tuwe marafiki wenye malengo
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtoto wa mwenzio upewe wewe!!Chukua mke na utapewa mtoto bure na utamwita jina lolote. Huyo kamrudia Mungu baada kuona hana mume na anapitia wakati mgumu na umri unazidi kwenda. Ukishaoa baada ya miezi kadhaa anakunjua makucha yake.
Ahahaaahaaa ajitafakari upyaKila uliyempa penzi zamani alikuwa anaweka kiapo?
Yani una mtoto tayari lkn hutaki sex mpk kiapo
Mungu akupe hitaji la moyo wako
Hajahukumiwa ila kwa aliyopitia n vigumu kuaminika tena ... so inabidi awe mpole tuu ..na sio kujidanganya km kuna mwanaume atakubali kukaa naye bila sex mpaka kiapo ...sio kweliHivi kwanini huwa mnapenda kuwahukumu watu kwa past zao? Kwani haiwezekani kuamua kufuata njia iliyo sahihi?
Be you.
Yamepita kwake but kwa mwanaume atakaye kuwa naye hayo n mambo mapya na anapaswa kuyaangalia kwa umakini saaana ..na sio kutake risk
Hapana, tunapaswa kuangalia ya sasa na yajayo. Ya kale yamepita.
Be you.
Mwanaume akiwa na watoto utamkubali? Kuajiriwa na kujiajiri kunaharibu nini mkate wa kila siku?Habari za jioni wapendwa wana jamii foramu
Naamini mu wazima
Mimi si mgeni jamii forum ni mfuatiliaji wa mada mbali mbali japo naingiaga Kama guest user, baada ya kusoma visa na mikasa mingi leo rasmi nimeamua kutengeneza akaunti kwa lengo moja tu la kutafuta mwenzi wa maisha kama second chance.
Kwa wale mlioowa na kuolewa na bado mkadumu katika ndoa Mungu awabariki na awazidishie upendo milele.
Niliolewa kabisaa lakini kuna mambo mazito hasa yalinikumba ndoa ikavunjika baada ya uwezekano wa kurekebishika ulipogonga mwamba.
Kwa muda wote niliokaa peke yangu nimetafakari kwa kina sana na kuamua kutafuta mwanaume ambaye anaweza kunipenda iili baadaye awe mume.
Sifa zangu
-Ni mdada naejituma, mcha Mungu na naejiheshimu
-Ni msomi na najiweza kiuchumi
-Umri wangu upo chini ya miaka 30
-Umri wa utoto na kurukaruka ulishapita, najielewa na najua nachokitaka.
-Nina mtoto mmoja
Sifa za mwanaume
-Awe Mkristo asiyetumia pombe
-Awe asiyependa anasa (sipo tayari kusex naye hadi hapo tutakapo weka kiapo)
-Mwenye uthubutu katika mambo ya maendeleo ( asiye amini sana masuala ya kuajiriwa zaidi sana awe na malengo ya kujiajiri mana matajiri wengi ni wale waliojiajiri)
-Mchapakazi mchapakazi mchapakazi
-Awe amekomaa kiakili, asiwe toz mvaa milegezo na ambaye bado anataka kurukaruka na vibinti
-mwenye upendo sana, kuheshimu na kujali utu.
Huyu namkaribisha tuwe marafiki wenye malengo
Sent using Jamii Forums mobile app