Namtafuta baba yangu Gervas Kalilo

Namtafuta baba yangu Gervas Kalilo

Kila ka kheri Pendo.

Funga safar . Uende Kahama.
Hata kwa siku 2.
Maana Kahama ndio ina majibu ya maswali yako.

Nenda Kahama Uhindini.
Na anzia serikali ya mitaa. Waambie story yako ila pia waombe wakupe /wakuonganishe na mwenyeji ambaye yuko Uhindini toka miaka 1990's.

Pili mwenyeji umuhoji akuonyeshe nyumba zote ambazo zilikuwepo miaka hiyo.
Pita door to door, kuulizia kama wanamkumbuka kuwa na mfanyakaz wa ndan aitwae Khadija Omary ambaye pia alipata Mimba na kujifungulia hapo hapo kwao.

NB; kama unaweza waombe serikali ya mitaa wakupe barua ya kukutambukisha na kutambua unatafuta nn kwenye Mtaa wao wa Uhindini. Ili usaidiwe na yoyote bila kuhisi utapeli.

Pili, Anza kupeleleza Ukoo wa KALILO ni kabila gan.

Je Pierina Vicka . Una picha ya Mama yako?.
 
Kila ka kheri Pendo.

Funga safar . Uende Kahama.
Hata kwa siku 2.
Maana Kahama ndio ina majibu ya maswali yako.

Nenda Kahama Uhindini.
Na anzia serikali ya mitaa. Waambie story yako ila pia waombe wakupe /wakuonganishe na mwenyeji ambaye yuko Uhindini toka miaka 1990's.

Pili mwenyeji umuhoji akuonyeshe nyumba zote ambazo zilikuwepo miaka hiyo.
Pita door to door, kuulizia kama wanamkumbuka kuwa na mfanyakaz wa ndan aitwae Khadija Omary ambaye pia alipata Mimba na kujifungulia hapo hapo kwao.

NB; kama unaweza waombe serikali ya mitaa wakupe barua ya kukutambukisha na kutambua unatafuta nn kwenye Mtaa wao wa Uhindini. Ili usaidiwe na yoyote bila kuhisi utapeli.

Pili, Anza kupeleleza Ukoo wa KALILO ni kabila gan.

Je Pierina Vicka . Una picha ya Mama yako?.
Bahati mbaya picha ya mama sina kuhusu ushauri wako naufanyia kazi🙏
 
Aisee najiona mimi kabisa miaka ijayo huko mbele,nimeenda mkoa X nimekutana na kibint cha 2000

Tukapima wote tupo clean,nikamwambia mapema sipo tayar kuzaa kwasasa,nilijua sio mkaaji huo mkoa

Kumbe mwenzangu anataka mtoto nami sijui,mwisho wa siku ikawa imo

Na mwenyewe anasema huyo ni binti yake na hata jina kamuandika la kwao

Ingawa alikuwa ana mambo mengi,pamoja na kupima nae lakini bado alikuwa mwingi wa mambo

Ikanibidi kupima tena,maana best yake alipenyezea za chini kuwa hajatulia,kwahiyo hata mtoto nikahisi huenda sip wangu

Ila nikaona siku moja picha yake whatsapp , anafanana na mimi,hata nikamuonyeshq mfanyakazi mwenzangu kutaka maoni yake akasema mzee hili chata lako

Na mwamba mmoja nae mkoa huo huo akasema hapa huruki

Sasa shida itampata huyo binti baadae akija kujitambua,namba ya huyo binti ninayo,siku za awali alikuwa anaomba msaada mdogo mdogo tena mara chache sana,nilimsaidiaga ila baadae nikawa nakuasha lengo nisiweke ukaribu nae tena,huwa naona tu status zake

Sometimes nawaza nimblock tu ingawa hanisumbui kwa lolote now

Namuona binti atakaye kuja kumtafuta Silent King baadae huko,so sad
 
Bahati mbaya picha ya mama sina kinachoniuma zaidi siikumbuki sura yake vzr lakini alikua ni hodari sana wa kupiga picha alikua na album kubwa na ilikua ina picha nyingi sana nikiwa na miaka 9-10 nilimshudia bibi akiichoma ile ALBUM💔😪😭😭 nilivyokua mkubwa nikamuuliza kwanini alichoma picha za mama yangu alisema nimsamehe kwani alikua akiziona hizo picha zinamtia machungu yaan eti akiziona anamkumbuka mwanae kiukweli hua naumia sana kutokua na picha hata moja ya mama yangu💔😪 nilimuuliza kwanini ulichoma wakati mimi nipo na humfaham baba yangu hizo picha zingenirahisishia mimi ktk kumtafuta hana majibu kiukweli hilo nalo hua linaniumiza sana kuna wakati hua nahis labda anajua maana kahama alienda kipindi nimezaliwa inaamaana kama kama angetaka kufatilia ingefatilia kipindi mama amefarik ningemjua baba kuna bibi yangu mwingine yupo dar nae alikua anapicha nyingi za mama nae nae mabomu ya gongo la mboto ya 2011 yalimfika kwenye nyumba yake hivyo vitu vyote viliharibika na kupotea hivyo sinaga picha ya mama yangu.. Nitajaribu kwenda Kahama kuulizia labda naweza kufanikiwa pia nahis labda jina sio lake maana nimepost sehemu nyingi sana bila mafanikio😪
Mungu akufanyie wepesi juu ya jambo linalo kutatiza.
 
Mungu akufanyie wepesi juu ya jambo linalo kutatiza.
Amen
Aisee najiona mimi kabisa miaka ijayo huko mbele,nimeenda mkoa X nimekutana na kibint cha 2000

Tukapima wote tupo clean,nikamwambia mapema sipo tayar kuzaa kwasasa,nilijua sio mkaaji huo mkoa

Kumbe mwenzangu anataka mtoto nami sijui,mwisho wa siku ikawa imo

Na mwenyewe anasema huyo ni binti yake na hata jina kamuandika la kwao

Ingawa alikuwa ana mambo mengi,pamoja na kupima nae lakini bado alikuwa mwingi wa mambo

Ikanibidi kupima tena,maana best yake alipenyezea za chini kuwa hajatulia,kwahiyo hata mtoto nikahisi huenda sip wangu

Ila nikaona siku moja picha yake whatsapp , anafanana na mimi,hata nikamuonyeshq mfanyakazi mwenzangu kutaka maoni yake akasema mzee hili chata lako

Na mwamba mmoja nae mkoa huo huo akasema hapa huruki

Sasa shida itampata huyo binti baadae akija kujitambua,namba ya huyo binti ninayo,siku za awali alikuwa anaomba msaada mdogo mdogo tena mara chache sana,nilimsaidiaga ila baadae nikawa nakuasha lengo nisiweke ukaribu nae tena,huwa naona tu status zake

Sometimes nawaza nimblock tu ingawa hanisumbui kwa lolote now

Namuona binti atakaye kuja kumtafuta Silent King baadae huko,so sa

Boss alikuwa Mhindi au ngozi nyeusi?
Sina hakika Lakin nafkiri ni Muhindi mweusi pia sijui kwa kipindi hicho watu walikua waina gani maeneo hayo maana ni Uhindini si mbali sana na soko kuu maana mwaka 2017 niliwahi kumuomba mama yangu mdogo huyo Eliza anipeleke nikaulizie maana boss alipokuja kumchukua bibi kipindi nimezaliwa waliongozana nae pia sasa 2017 nikamuomba twende kahama uhindini anipeleke kama anaikumbuka nyumba bwana tulifika mazingira hayo akasema nyumba haikumbuki maana kumechangamka sana nitamuuliza kuhusu boss alikuwa raia mwenye asili ya wapi kama anakumbuka ataniambia
 
Aisee najiona mimi kabisa miaka ijayo huko mbele,nimeenda mkoa X nimekutana na kibint cha 2000

Tukapima wote tupo clean,nikamwambia mapema sipo tayar kuzaa kwasasa,nilijua sio mkaaji huo mkoa

Kumbe mwenzangu anataka mtoto nami sijui,mwisho wa siku ikawa imo

Na mwenyewe anasema huyo ni binti yake na hata jina kamuandika la kwao

Ingawa alikuwa ana mambo mengi,pamoja na kupima nae lakini bado alikuwa mwingi wa mambo

Ikanibidi kupima tena,maana best yake alipenyezea za chini kuwa hajatulia,kwahiyo hata mtoto nikahisi huenda sip wangu

Ila nikaona siku moja picha yake whatsapp , anafanana na mimi,hata nikamuonyeshq mfanyakazi mwenzangu kutaka maoni yake akasema mzee hili chata lako

Na mwamba mmoja nae mkoa huo huo akasema hapa huruki

Sasa shida itampata huyo binti baadae akija kujitambua,namba ya huyo binti ninayo,siku za awali alikuwa anaomba msaada mdogo mdogo tena mara chache sana,nilimsaidiaga ila baadae nikawa nakuasha lengo nisiweke ukaribu nae tena,huwa naona tu status zake

Sometimes nawaza nimblock tu ingawa hanisumbui kwa lolote now

Namuona binti atakaye kuja kumtafuta Silent King baadae huko,so sad
Hongera 👏
 
Pole sana,endelea kumtafuta baba Yako hiyo ndo asili Yako na itakutesa muda mrefu mwombe sana mungu maana maumivu unayopata ni makali sana Kuna jamaa yangu tulimrafuta baba yake hapa jf,hakufaniliwa kumpata hadi sasa.


Ndugu yangu anaumia sana licha ya kwamba ana kila kitu.Yeye baba yake alikuwa askari magereza miaka ya 1980S.Inauma sana mwenyezi Mungu akufanyie njia umpate baba yako
 
Back
Top Bottom