Namtafuta baba yangu anayeitwa Rashidi Mshana

J33

JF-Expert Member
Jun 11, 2014
1,552
1,505
Mimi ni Rashidi Masoud Mshana naishi Tunduru namtafuta baba yangu Rashidi Mshana aliniacha nikiwa mdogo sana .Mama yangu anaitwa Gisela Fussi mtoto wa mwalimu Fussi.

Kwa sasa nina umri wa miaka kumi na saba na. Na nasoma kidato cha nne huyu Rashidi Mshana alikuwa mwalimu wa shule ya msingi huku Ruvuma na baadae alihama.Kwa atakayempata anipigie namba 0688071791 .

Asanteni.

Ujumbe huu nimetumia na kijana akimtafuta baba yake nikaona niweke haya maelezo hapa labda anaweza kupata msaada na sababu ya kutumiwa ujumbe ni kuwa mimi na huyo anayetafutwa tunafanana majina90% hivyo wakat dogo anatafuta waliopata maelezo wakahisi ni mm japo niligundua kuwa sio mm.

Duc in Altum
 
Ungeanza na wizara ya elimu....au Teachers service commission
Nimejitolea kumsaidia so nauchukua ushauri wako uoga wangu ni kuwa huyo mzee anaweza kuwa amestaafu kwa sasa nimejaribu kumuuliza dogo kama anajua angalau alikuwa na umri gan kasema ni ngum kujua.

Duc in Altum
 
Hebu mkuu fanya mpango Wa kumcheki kaka Mshanajr....

Ana mambo ya kichawi-kichawi anaweza akamleta Baba hata kama kajificha Kinsasha....
Acha utan broo!

Duc in Altum
 
J33 ubarikiwe kwa kutoa huo msaada.Mshana ni wa kutoka Usangi huko upareni mkoa wa kilimanjaro....wa huko pse mimsaidie J33.
Mi mwenyewe ni Mshana na natokea huko Mshana pia wanapatikana Kilomeni na Ugweno wilaya ya Mwanga.

Duc in Altum
 
Halafu the great single mothers who takes full responsibility to raise abandoned kids alone are ridiculed here like trash! Aaagh!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom