namtafta Endaeli M. E. Mnd....

Speedo

Member
Feb 15, 2011
70
19
Heri ya Sikukuu wanaJF,Nimeahirisha kumtafuta. ntatumia njia nyingine.Kila la kheri ktk mwaka ujao wa 2012bye
 
Mndeme au mndolwa....usipomaliza watu watajuaje sasa..eeeh? Mods kuna haja ya kuanzisha forum ya 'Lost n Found" kama alivyosuggest mwanaJF kwenye thread flani...its important kwa kweli!
 
Vp ushafungua ile zawad? Ni nzuri inafaa kwenye lile gauni la bluu
 
Mndeme au mndolwa....usipomaliza watu watajuaje sasa..eeeh? Mods kuna haja ya kuanzisha forum ya 'Lost n Found" kama alivyosuggest mwanaJF kwenye thread flani...its important kwa kweli!
bywe bye bye bye
 
Sio ustaarabu kuanza kutaja watu huku mtandaoni ndugu. Ni kweli uko desperate hivyo kumuona huyo rafiki yako? Unataka tu kujua yuko wapi anafanya nini, ama una kitu cha ziada? Manake hata tunaomdai sasa tutaanza kujua details shighatini.
 
Back
Top Bottom