Yohana Kilimba
JF-Expert Member
- Dec 25, 2012
- 8,108
- 5,626
mwigulu for 2025-2035!Wakuu, Siasa inahitaji maandalizi ili kushika nafasi ya juu katika uongozi wa nchi. Nimekuwa nikimfuatilia Ndg. Mwigulu Nchemba tangu sakata la Arusha mpaka kutaka kugombea urais kupitia chama chake CCM.Nilichokibaini kuna mabadiliko sana katika mwenendo kauli na hata uvaaji.
Kilichonishtua zaidi ni aina yake uvaaji inayoashiria kupractice nafasi ya amiri jeshi mkuu wa nchi. Kwa kuangalia hilo namtabiria mkuu Mwigulu kuandaliwa kumrithi mtukufu wetu.
View attachment 379214