Namshukuru Mungu nimepona

Namshukuru Mungu nimepona

Sifa na Utukufu kwa Mungu Baba Muumba mbingu na Dunia na vitu vyote vinavyo onekana na visivyo onekana Tangu mwaka Jana kuanzia mwezi March nilikuwa nasumbuliwa sana na mwili wangu nikaenda hospital nikawa napata matibabu lakini nini endelea hadi mwaka huu ,hadi mwaka unapinduka bado nikawa na maumivu,tulipofika kwaresma nikaweka malengo
1:Nikafunga kwa kujinyimq au kubadiri ratiba yangu ya chai kila saa sita nasali kwanza ndio nakunywa chai kwa kawaida uwaga saa tatu nakunywa chai
2:misa ya alhamisi kuu tukaenda kwenye misa nikiwa na lengo la kuyaacha magonjwa msalabani
Namshukuru Mungu nipo vizuri sana na nipo happy sana
Amen


Mungu ni mwema daima, hakuna Zaidi yake hata shetani ajaribu vipi kutushawishi Mungu yu nasi na anatusamehe tu. Hongera kwa kupona na pole kwa kusumbuka na maradhi yako.
 
MATHAYO 21:22 Inasema "Na yoyote mtakayoyaomba katika sala, MKIAMINI mtayapokea". Mungu ni mweza.
 
Kama kuna Mungu aliye hai kungekuwa hamna wagonjwa kabisa.

Unaweza kuthibitisha huyo Mungu yupo?
Sitathibitisha kwamba Mungu yupo bali nitathibitisha kuwa Mungu aliye hai ndio chanzo cha huyu mleta thread kuponyeshwa na hao madokta, baada hapo tayari utakuwa umeshapata jibu lako.

Kwanza nikuulize unaamini kuwa kuna miujiza?
 
unaweza kuthibitisha kuwa hayupo?
the story behind your creation ni proof tosha kuwa kuna nguvu ya ziada behind all this
Story gani behind my creation?

Unaweza kuthibitisha chochote ambacho hakipo kwamba hakipo?
 
Sitathibitisha kwamba Mungu yupo bali nitathibitisha kuwa Mungu aliye hai ndio chanzo cha huyu mleta thread kuponyeshwa na hao madokta, baada hapo tayari utakuwa umeshapata jibu lako.

Kwanza nikuulize unaamini kuwa kuna miujiza?
Wagonjwa wangapi wanamuomba huyo mungu na bado wanafariki?

Kupona au kutopona hakuthibitishi uwepo wa mungu

Je angefariki ina maana mungu hayupo?
 
Sitathibitisha kwamba Mungu yupo bali nitathibitisha kuwa Mungu aliye hai ndio chanzo cha huyu mleta thread kuponyeshwa na hao madokta, baada hapo tayari utakuwa umeshapata jibu lako.

Kwanza nikuulize unaamini kuwa kuna miujiza?
Nitapenda kuona ukithibitisha.

Muujiza ni nini na utajuaje huu ni muujiza na si kitu nisichokijua tu?

Wazungu walivyokuja na gramophone kucheza muziki, waafrika ambao hatukujua sayansi ya kunasa sauti tulivyoona kibox kinaimba muziki ni kama muujiza.

Tukawaona wazungu kamamiungu fulanihivi, ndiyomaana mzungu na mungu zinapishana z tu.

Hawa waafrika waliona muujiza kwa sababu hawakuelewa ile gramophone inavyofanya kazi.

Leo vitukuu vyao tumeelewa hatuoni tena muujiza.

Utakapoona kitu unachofikiri muujiza, utajuaje huu muujiza kweli na si ujinga wako tu kutokujua mambo kama wale waafrika walioona gramophone kutoa sauti ya mtu ni muujiza?
 
Wagonjwa wangapi wanamuomba huyo mungu na bado wanafariki?

Kupona au kutopona hakuthibitishi uwepo wa mungu

Je angefariki ina maana mungu hayupo?

Ukiwa tayari na negative thought juu ya chochote kinacho muhusu Mungu basi ni rahisi kuleta argument kama hii, kwamba eti kwa sababu mgonjwa X pamoja na kumuomba Mungu hajapona lakini mgonjwa Y amepona basi huyo Mungu unamuona kama ana upendeleo na hatimae kuhitimisha kuwa hayupo.

Hapo inaonesha unahitaji kupata darasa linalohusu Maombi ndio utafahamu kwani kuna maombi hayajibiwi na mengine yanajibiwa. Sio kila huwa inasiklizwa ndugu.

Hata kitendo cha binadamu kufariki bado ni uthibitisho tosha wa uwepo wa Mungu.. "ni kwanini lazima ufariki"?
 
Sifa na Utukufu kwa Mungu Baba Muumba mbingu na Dunia na vitu vyote vinavyo onekana na visivyo onekana Tangu mwaka Jana kuanzia mwezi March nilikuwa nasumbuliwa sana na mwili wangu nikaenda hospital nikawa napata matibabu lakini nini endelea hadi mwaka huu ,hadi mwaka unapinduka bado nikawa na maumivu,tulipofika kwaresma nikaweka malengo
1:Nikafunga kwa kujinyimq au kubadiri ratiba yangu ya chai kila saa sita nasali kwanza ndio nakunywa chai kwa kawaida uwaga saa tatu nakunywa chai
2:misa ya alhamisi kuu tukaenda kwenye misa nikiwa na lengo la kuyaacha magonjwa msalabani
Namshukuru Mungu nipo vizuri sana na nipo happy sana
Amen
Amen....!! hongera chief
 
Ukiwa tayari na negative thought juu ya chochote kinacho muhusu Mungu basi ni rahisi kuleta argument kama hii, kwamba eti kwa sababu mgonjwa X pamoja na kumuomba Mungu hajapona lakini mgonjwa Y amepona basi huyo Mungu unamuona kama ana upendeleo na hatimae kuhitimisha kuwa hayupo.

Hapo inaonesha unahitaji kupata darasa linalohusu Maombi ndio utafahamu kwani kuna maombi hayajibiwi na mengine yanajibiwa. Sio kila huwa inasiklizwa ndugu.

Hata kitendo cha binadamu kufariki bado ni uthibitisho tosha wa uwepo wa Mungu.. "ni kwanini lazima ufariki"?
Thibitisha kwamba Mungu yupo.

Binadamu kufariki si uthibitishokwamba Mungu yupo.

Ni uthibitisho kwamba Mungu hayupo.

Mungu mwenye uwezo wote,ujuzi wote na upendo wote angekuwepo, kifo kisingekuwepo.

Kifo kinam contradict huyo Mungu.
 
Sifa na Utukufu kwa Mungu Baba Muumba mbingu na Dunia na vitu vyote vinavyo onekana na visivyo onekana Tangu mwaka Jana kuanzia mwezi March nilikuwa nasumbuliwa sana na mwili wangu nikaenda hospital nikawa napata matibabu lakini nini endelea hadi mwaka huu ,hadi mwaka unapinduka bado nikawa na maumivu,tulipofika kwaresma nikaweka malengo
1:Nikafunga kwa kujinyimq au kubadiri ratiba yangu ya chai kila saa sita nasali kwanza ndio nakunywa chai kwa kawaida uwaga saa tatu nakunywa chai
2:misa ya alhamisi kuu tukaenda kwenye misa nikiwa na lengo la kuyaacha magonjwa msalabani
Namshukuru Mungu nipo vizuri sana na nipo happy sana
Amen

Utukufu na heshima apewe yeye Mungu atuponyaye
 
Back
Top Bottom