Askari Muoga
JF-Expert Member
- Oct 22, 2015
- 6,112
- 4,663
Sifa na Utukufu kwa Mungu Baba Muumba mbingu na Dunia na vitu vyote vinavyo onekana na visivyo onekana Tangu mwaka Jana kuanzia mwezi March nilikuwa nasumbuliwa sana na mwili wangu nikaenda hospital nikawa napata matibabu lakini nini endelea hadi mwaka huu ,hadi mwaka unapinduka bado nikawa na maumivu,tulipofika kwaresma nikaweka malengo
1:Nikafunga kwa kujinyimq au kubadiri ratiba yangu ya chai kila saa sita nasali kwanza ndio nakunywa chai kwa kawaida uwaga saa tatu nakunywa chai
2:misa ya alhamisi kuu tukaenda kwenye misa nikiwa na lengo la kuyaacha magonjwa msalabani
Namshukuru Mungu nipo vizuri sana na nipo happy sana
Amen
1:Nikafunga kwa kujinyimq au kubadiri ratiba yangu ya chai kila saa sita nasali kwanza ndio nakunywa chai kwa kawaida uwaga saa tatu nakunywa chai
2:misa ya alhamisi kuu tukaenda kwenye misa nikiwa na lengo la kuyaacha magonjwa msalabani
Namshukuru Mungu nipo vizuri sana na nipo happy sana
Amen