Namshukuru Allah

Namshukuru Allah

Turufuu

Senior Member
Joined
Dec 27, 2013
Posts
182
Reaction score
54
ALHAMDULILAH RABIL-ALAMIN. Mwenyez Mungu kaniruzuk mtoto wa kiume mchana huu MASHAALLAH, mtoto yupo na afya njema na mama yake. Kwa kweli nina furaha isiyokua na mfano mchana huu AMA CNA CHA KUMPA ALLA ISPOKUA NI KUMSHUKURU JAPO KWA UCHACHE WA SHUQRAN kwa kusema ALHAMDULILAH ALA QULLI HALI.
 
Insha Allah tunamuombea kheri na Mwenyezi Mungu amtunze na kumpa afya njema...Na wewe akupe nguvu na hekma ya kumlea katika maadili ya kiislam..
ALHAMDULILLAH RABIL-ALAMIN..!!
 
hongera ila punguza kiarabu kingi.. you r just Tanzanian bhnana.. misifa yote ya kiarabu kiarabu ya kazi gani?
 
In Shaa ALLAH MWENYEZI MUNGU amkuze awe mtoto wa kheir
 
Hongera Mkuu!! ni jambo jema kuwa na familia na kuwa mtu wa shukrani kwa MUNGU kwa yote!
 
ALHAMDULILAH RABIL-ALAMIN. Mwenyez Mungu kaniruzuk mtoto wa kiume mchana huu MASHAALLAH, mtoto yupo na afya njema na mama yake. Kwa kweli nina furaha isiyokua na mfano mchana huu AMA CNA CHA KUMPA ALLA ISPOKUA NI KUMSHUKURU JAPO KWA UCHACHE WA SHUQRAN kwa kusema ALHAMDULILAH ALA QULLI HALI.

Inshaalah, akue ktk malezi mema.
 
hongera ila punguza kiarabu kingi.. you r just Tanzanian bhnana.. misifa yote ya kiarabu kiarabu ya kazi gani?
Angejaza umombo ungemuona wa maana lakini kwa kuwa Kiarabu mekupiga chenga unalaumu. Acha hizo.
 
hands-clapping-applause-smiley-emoticon.gif
congrats-smiley-emoticon.gif


kweli mshukuru mungu wako maana misukosuko ilikuwa mingi....
[h=3]Je nimekosea?[/h] Started by Turufuu, 7th August 2014 22:13





Juzi
moja tulikwaruzana kidogo na my waif wangu sasa mi nipo seblen nachek
mdahalo wa akina warioba yeye waif akaingia chumban akashika madonge eti
anataka kuyameza huku ni mjamzito
duh, kidume nikaingia chumban kujitayarisha ili
nikaswali magharib ndo nakumban na hiyo hali nikaenda jikon nikamletea
jagi la maji na glas alfu mi uyo nikaelekea mskiti
, nilipofika nje
nikamuandikia meseji "chagua mava kabisa kati ya kisutu na mwinyi mkuu"
duh na anavoogopa kaburi nikarudi yupo seblen anachek muvi nikamuliza vipi umekosa viza au tiket umeipoteza, akanambia oh huna huruma huion ii hali nilionayo bado unataka nife, nikamwambia mimb isiwe kinga ya makosa halaf mi ukanifanya ndondocha lako, bs mpaka leo akikumbuk nilivompa jag la maji anacheka.
Last edited by Turufuu; 7th August 2014 at 22:22.

kama hujampa jina muite mtoto BAHATI
 
Hongera! Ila usiishie kuchekelea na kujipongeza tu...hakikisha una create bond na mtoto wako kuanzia akiwa mtoto...

1.png
 
hands-clapping-applause-smiley-emoticon.gif
congrats-smiley-emoticon.gif


kweli mshukuru mungu wako maana misukosuko ilikuwa mingi....
Je nimekosea?

Started by Turufuu, 7th August 2014 22:13







kama hujampa jina muite mtoto BAHATI

hahaha...kumbe ndio huyu...kama mimba ilimfanya atamani kutoa msaada wa kumtoa mtu roho...tusubiri thread nyingine ya kulea...
 
Back
Top Bottom