misasa
JF-Expert Member
- Feb 5, 2014
- 17,047
- 13,177
Kariakoo ipi iyo wamefunga fremu?Mkuu Sasa hivi Hali kwake imekuwa Ni tete.
Misaada ndiyo haieleweki.
Biashara na makampuni binafsi yanafungwa ukitaka kuthibitisha nenda kariakoo ukitaka fremu au stoo unapata Tena bila dalali kwani namba zimebandikwa kwenye fremu.
Sasa inabidi mbinu za ziada zitumike Kama kupitia polisi barabarani na hivyo vitambulisho.
Huo ushauri Ni mgumu kupokelewa kutokana na Hali ilivyo
Sent using Jamii Forums mobile app