Namshauri Professa Assad aende Mahakamani kwa uonevu aliofanyiwa

Pole sana Professa Assad.

Mimi binafsi nilisikitika sana kwa uonevu uliofanyiwa kwa kustaafishwa bado ukiwa hujatimiza umri wako wa kustaafu. Ulisimamia ukweli, ulikuwa mwadilifu na mkweli kwa nchi yako lakini haya yote wakubwa hawakuona na bado wakakukejeli. Kama katiba inavyosema CAG ili kustaafu kwa CAG ni lazima atimize miaka 65 isipokuwa anaweza kustaafishwa kabla ya 65 kama haya yatamtokea. (1) Kama akili yake siyo timamu (2) Kifo (3) vitendo vya kimaadili n.k.

Hivi vyote Professa hakuwa nazo na bado umri wake ulikuwa miaka 58. Huu ni uonevu mkubwa sana kwa wakubwa wa Mamlaka na hivyo mimi ninakushauri uende Mahakamani ili utafute haki yako hata kama hawatakurudisha lakini wajifunze na jambo kama hili lisirudiwe tena.

Soma > Prof. Assad: Niliondolewa kazini kinyume na taratibu kwasababu nilikuwa sifuati maelekezo ya Mtu
Prof. Assad ni mtu mcha Mungu kwa imani ya dini yake, muadilifu na msomi mbobevu. Watu kama hawa kwa nchi nyingine zenye taasisi imara huchukuliwa kama sehemu muhimu ya "think tank" ya kuiongoza nchi. Lakini siyo kwa nchi yenye kuendeshwa kwa akili za ki CCM.

Mtu kama huyu huwezi kutegemea akapate "due respect" kutoka kwa mafisadi na wezi wa mali za umma ambao wamejazana ndani ya CCM. Kila mzalendo mwenye uthubutu wa kutetea rasilimali za nchi hii ni lazima atawekewa zengwe na hata njama za kutaka kummaliza.

Nchi yetu imekuwa ni ya ajabu kabisa, badala ya vyombo vya dola, bunge na mahakama kuwa upande wa wananchi wenye kudhulumiwa na kuonewa, vyote hujitoa ufahamu na kusimamia dhuluma inayofanywa na mahafidhina yaliyojazana ndani ya chama tawala.
 
Pole sana Professa Assad.

Mimi binafsi nilisikitika sana kwa uonevu uliofanyiwa kwa kustaafishwa bado ukiwa hujatimiza umri wako wa kustaafu. Ulisimamia ukweli, ulikuwa mwadilifu na mkweli kwa nchi yako lakini haya yote wakubwa hawakuona na bado wakakukejeli. Kama katiba inavyosema CAG ili kustaafu kwa CAG ni lazima atimize miaka 65 isipokuwa anaweza kustaafishwa kabla ya 65 kama haya yatamtokea. (1) Kama akili yake siyo timamu (2) Kifo (3) vitendo vya kimaadili n.k.

Hivi vyote Professa hakuwa nazo na bado umri wake ulikuwa miaka 58. Huu ni uonevu mkubwa sana kwa wakubwa wa Mamlaka na hivyo mimi ninakushauri uende Mahakamani ili utafute haki yako hata kama hawatakurudisha lakini wajifunze na jambo kama hili lisirudiwe tena.

Soma > Prof. Assad: Niliondolewa kazini kinyume na taratibu kwasababu nilikuwa sifuati maelekezo ya Mtu
Mi namshauri anyamaze.....kwa sasa hakuna kitakachomsaidia zaidi ataonekana ana gubu tu. Atulie, alee wajukuu zake! Mbona ameshayafanikisha mengi tu katika maisha haya ya kibongo!!!
 
Legacy ya chadema ni kulipakazia ugaidi taifa
Kwanini hata siku moja usijichukulia kama mtu timamu? Wew kila siku nikujifanya takataka na unaona furaha sana. Lakini una haki ya kujichukulia vyovyote utakavyo.
 
Hivi kufa imekuwa ni laana au walokufa wote wamelaaniwa nashindwa kuelewa kwa kweli!
 
Unamsifu weee, kumbe bure tu! Aliwezaje kuwa na maadili ktk uongozi wa mtu ambaye hakuwa na maadili? Si alikuwa ni CAG wa Kikwete na safari zake za nje kila siku hadi kupokelewa na wana mziki!

Mtu gani huyu nayelalama kila siku utadhani alisomea kozi ya CAG? Kwani hana kazi nyingine? KIla siku anakuja na jipya kwani wengine nchi hii hawakuachishwa kazi?
Umeelewa jambo linalozungumziwa kweli? Nyie ndiyo masalia ya mwendakuzimu.
 
Kufa wakati mwingine sio adhabu kama mtu mwenyewe alijawa na kujiamini kuliko maelezo. Alipokuwa waziri alikwenda Ulaya kutibiwa mara tano.

Alipoingia ikulu akashindwa tena kwenda akiwa keshawaonyesha ujeuri mwingi wazungu kwa maamuzi yake yenye misimamo, angetaka angeweza kupanda ndege na kwenda kutibiwa Ulaya. Kwa ujeuri wake wa kutaka sekta ya afya hapa hapa nchini imtibu ndio akakutana na kifo chake.

Msipende kukiongelea kifo cha mtu bila ya kujua sababu haswa zilizopelekea kikatokea.
Jiwe alikufa kutokana na laana ya wananchi pamoja na kutaka kukifanya Mungu mtu.
 
Pole sana Professa Assad.

Mimi binafsi nilisikitika sana kwa uonevu uliofanyiwa kwa kustaafishwa bado ukiwa hujatimiza umri wako wa kustaafu. Ulisimamia ukweli, ulikuwa mwadilifu na mkweli kwa nchi yako lakini haya yote wakubwa hawakuona na bado wakakukejeli. Kama katiba inavyosema CAG ili kustaafu kwa CAG ni lazima atimize miaka 65 isipokuwa anaweza kustaafishwa kabla ya 65 kama haya yatamtokea. (1) Kama akili yake siyo timamu (2) Kifo (3) vitendo vya kimaadili n.k.

Hivi vyote Professa hakuwa nazo na bado umri wake ulikuwa miaka 58. Huu ni uonevu mkubwa sana kwa wakubwa wa Mamlaka na hivyo mimi ninakushauri uende Mahakamani ili utafute haki yako hata kama hawatakurudisha lakini wajifunze na jambo kama hili lisirudiwe tena.

Soma > Prof. Assad: Niliondolewa kazini kinyume na taratibu kwasababu nilikuwa sifuati maelekezo ya Mtu

Jaji Mutungi aliwahi zitambua mahakama za jaji nyani kesi ya ngedere.

Hapo ndipo umuhimu wa katiba mpya ulipo.
 
Utawala wa sheria haukuwepo enzi za Magufuli sioni tofauti kubwa ya awamu ya 5& 6 kilichobadilika ni jinsia ya kiongozi tu
 
(3) vitendo vya kimaadili,huyu atakua na hii shida mana si kwa kulalamika huko kumbe anajua wazi katiba inasemaje lakini yeye kakalia kipengere kimoja tu kwamba muda wa kustaafu ulikua bado.Hopless kabisa
 
Back
Top Bottom