Drifter
JF-Expert Member
- Jan 4, 2010
- 4,436
- 4,151
Hivi dogo kwenu hakuna aliyewahi kufa?
Nakupa hint.
Adui yako akikutangulia kufa, wewe ndiye “utakayemzika” na kuandika wasifu wake jinsi unavyotaka. Hatakuwa na uwezo wa kukujibu, kukuelekeza wala kukuhoji. Ndio adhabu yenyewe.
Hivyo jitahidi sana ama usiwe na wabaya au usiwatangulie kufa!