ummu kulthum
JF-Expert Member
- Feb 6, 2012
- 2,785
- 1,317
ni wiki ya pili sasa nachunguza mwenendo wake umebadilika kabisa na nyinyi wanacc mtakubaliana na mimi,kwa hoja hii kwamba akija humu hakai wala hasalimii anakuja kutoa like haraka af anasepa, kwa yeyote na popote chuguzeni mtangundua tu!
like anatoaje huyu mtanashati erick52
1. kwenye msiba like
2. kwenye ugojwa like
3. anaomba msaada like
4. mapenzi like
5. amepewa talaka like
6. amekataliwa like
af hapo hacomment chochote huyo anaenda zake, nahisi anamatatizo na hatuna budi kumsaidia ndugu yetu kama ile biashara imekwama sema tutakuchangia kama wifi kakutimua na rambo yako sema tukusaidie
comment zako ni muhimu kuliko like.
like anatoaje huyu mtanashati erick52
1. kwenye msiba like
2. kwenye ugojwa like
3. anaomba msaada like
4. mapenzi like
5. amepewa talaka like
6. amekataliwa like
af hapo hacomment chochote huyo anaenda zake, nahisi anamatatizo na hatuna budi kumsaidia ndugu yetu kama ile biashara imekwama sema tutakuchangia kama wifi kakutimua na rambo yako sema tukusaidie
comment zako ni muhimu kuliko like.