Namsaidiaje huyu shemeji yangu?

Namsaidiaje huyu shemeji yangu?

Huwa wanavumilia siku wakisema enough is enough basi,huwa hawana point of return. Wenyewe wanasema moyo wao ni kitabu,ukimzingua anafungua ukurasa mpya life linaendelea. Sasa siku kitabu kikifika mwisho Sasa atafungua wapi Tena ama nakosea akina dada
Upo sahihi sana
 
Sistaaa sistaaaa....

Nimekumbuka hako ka kionjo.
 
Ccta ndo ujinga gani... Acha utoto!
 
Kawaida mwanamke alievumilia mengi na kujaribu kuleta amani kwenye ndoa yake kwa muda mrefu, akisema NO, ni NO.
 
Mwambie tu sio wewe uliyewafanya wakapendana na kuoana hapo mwanzo, hivyo apambane yeye mwenyewe kumrudisha mtu aliyempenda na kumuoa...
 
ccta?? kama ilikuwa uvivu wa kuandika sister ungeandika dada.

huu ni uzembe/uharibifu wa lugha ambao hata hao uncle zako wataiga kwako. acha!.
 
Mgeuze shemeji ako fursa, muombe nauli ya kwenda kwa sista, kesho mwambie sista bado anamfikiria, muombe hela labda umpelekee zawadi sista....hizo hela ni zako lakini.

hapa mjini sio pa kukaa kizembe.
hahahaaaaa aiseee nmecheza hako kamchezo kwa ccta angu jmn dada angu yeye alikuwa hampendi shemeji yangu afu mm ndo namtaka awe shemeji yang nachukua hela na zawad afu dada yangu anazikataa naomba vtu ambavyo hata dada havijui vinakuwa vyangu umenikumbusha mbali
 
Huwa wanavumilia siku wakisema enough is enough basi,huwa hawana point of return. Wenyewe wanasema moyo wao ni kitabu,ukimzingua anafungua ukurasa mpya life linaendelea. Sasa siku kitabu kikifika mwisho Sasa atafungua wapi Tena ama nakosea akina dada
Sahihi 100% kabisaa!!yaani nikisema enough namaanisha yaani!wanawake wakichoka wamechoka!!

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Mwambie sista amsamehe.

Shida sista hakuwashirikisha wakati wa matatizo labda mngemsaidia kuongea na kumtuliza shem, sasa sista kayabeba peke yake yamemshinda. Mwambie akupe nafasi uwapatanishe, kumbukeni kupatana ni bora kuliko kutengana

Shida ukute sista kapata lijamaa lingine linasimamia kucha saa hizi shenzi taipu, akili haioni haisikii.
Sio kweli ukute hana ht bwana ametulia tuli na hana mpango kabisaa!!!
Na sio kila mtu muongeaji ongeaji watu wanakaa kimya wanavumilia ila wakichoka wamechoka

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
hahahaaaaa aiseee nmecheza hako kamchezo kwa ccta angu jmn dada angu yeye alikuwa hampendi shemeji yangu afu mm ndo namtaka awe shemeji yang nachukua hela na zawad afu dada yangu anazikataa naomba vtu ambavyo hata dada havijui vinakuwa vyangu umenikumbusha mbali
mie zamani sana kutumwa kwa kuandikiwa kibarua, lazma nikifungue niedit kama ni hela naedit naongeza nikipewa nyingi hicho cha juu changu....

huyu jamaa huyo shemeji ni bonge la fursa
 
mie zamani sana kutumwa kwa kuandikiwa kibarua, lazma nikifungue niedit kama ni hela naedit naongeza nikipewa nyingi hicho cha juu changu....

huyu jamaa huyo shemeji ni bonge la fursa
kwakwel fursa kwel afu ukute shemej mambo safi jmn hakuna rangi utaacha kuiona ccta
 
Back
Top Bottom