Shehullohi
JF-Expert Member
- Jul 21, 2020
- 3,754
- 3,680
Hayo ni mambo ceremonial tu. Marais wote wamepewa uchifu huo ceremonial, lakini Tanzania haitambui uchifu wala cheo kama hicho cha kurithi. Kwa sababu Tanzania kimsingi bado ni Jamhuri inayoamini katika usawa wa watu, na ukikubali uchifu umekubali kwamba kuna koo fulani zimefaa kutawala nyingine.
Makafara ya kuzimu ni sawa na misa za kanisani na sala misikitini.Kwa hiyo ule utaratibu uliotumika kumtawaza/simika haukuhusisha ibada za matambiko na makafara ya mizimu? Unaposema ceremonial unamaanisha nini? Huyu chifu kwa utaratibu ule hakufanyiwa ibada ya mizimu, kuvishwa kaniki na ngosi ya chui? Kwenye ulimengu wa kiroho upande wa kiza limefanyika jambo kubwa sana.
Makafara ya kuzimu ni sawa na misa za kanisani na sala misikitini.
Hakuna tofauti yoyote.
Na as long as hayo makafara na hizo misa ni vitu vinavyobaki kuwa vya kufurahisha macho ya watu tu, haviingii katika kuendesha nchi kwa namna ya kupendelea upande fulani, then hakuna tatizo.
Ninachosema ni kwamba hicho cheo cha uchifu ni maigizo ya kufurahisha baraza, hakipo katika katiba wala sheria.
Nyerere alishakitoa.
Ni miungu(gods)watubwanashabikia wasivyovijua!Chief ni mtu aliyeua watu wengi sana kichawi
Ndio tupo sawa Kikatiba hata kama sio kiuhalisia..., ingawa kwa mfumo wa kichifu / kifalme n.k. ; Kikatiba tusingekuwa sawa...Wewe na watoto wa Rais mpo sawa?
Wachache sana watakuelewa!Kwa hiyo ule utaratibu uliotumika kumtawaza/simika haukuhusisha ibada za matambiko na makafara ya mizimu? Unaposema ceremonial unamaanisha nini? Huyu chifu kwa utaratibu ule hakufanyiwa ibada ya mizimu, kuvishwa kaniki na ngosi ya chui? Kwenye ulimwengu wa kiroho upande wa kiza limefanyika jambo kubwa sana. Uislamu na Ukristo sijui unatuambia mambo yapi juu ya utaratibu huu.
Nguvu na influence maana yake nini?Mizimu haina nguvu wala influence yeyote kwa muhusika si ndivyo unataka kutuaminisha?
Nchi hii inaongozwa na Mungu aliye hai,muumba was mbingu na nchi sio hiyo miungu ya kichifu!Wewe ni nani wa kuwabishia MACHIFU WA MAKABILA ZAIDI YA 100 WA TAIFA HILI?!!!
Hao machifu wa Wahaya ,Wagogo ,Wamasai ,Wakurya na Wanyakyusa walikuwa ni miongoni mwa machifu hao 100.....
#AdumuMileleChifuMkuuHangaya
#SiempreJMT
#NchiKwanza
#UtiiUsioteterekaKwaChifuMkuuHangaya
Mungu mwenyewe hayupo, mizimu nayo haipo.Wachache sana watakuelewa!
In short kiti kimenajisika badala ya kuketishwa Mungu,imeketishwa miungu yenye jina hilo.
Na Mungu anachukia kuabudu miungu,subiri tuone Mungu hajawahi kushindwa, tunaendelea kuomba yupo Mungu.
Ukiona mtu anamtajataja Mungu katika hoja za kawaida KABISA ujue analazimisha "USHINDI" wa kuimaliza hoja.....Nchi hii inaongozwa na Mungu aliye hai,muumba was mbingu na nchi sio hiyo miungu ya kichifu!
Are you deluded?!!!!Wachache sana watakuelewa!
In short kiti kimenajisika badala ya kuketishwa Mungu,imeketishwa miungu yenye jina hilo.
Na Mungu anachukia kuabudu miungu,subiri tuone Mungu hajawahi kushindwa, tunaendelea kuomba yupo Mungu.
Nguvu na influence maana yake nini?
Mizimu haina nguvu nje na watu watakayoipa mizimu.
Na hata kwenye dini ni hivyo hivyo, ndiyo maana namkwambia, haya yote ni kitu kile kile.
Mizimu, uchawi, sala, misa.
Majina tofauti, kitu kilekile.
SAwa chiefUtakufa utauacha uchawi.....
Hata sijaelewa unachotaka kuuliza ni nini.Ziko programme za kumuombea Mkuu wa nchi kwenye baadhi ya makanisa na hata misikiti na fikiri hivyo. Wanapomuona Mkuu wa nchi kasimikwa uchief kwenye madhabahu ya hawa machief unafikiri unawaweka hawa kwenye position gani ya kumuombea ulinzi na hekima au kukemea mapepo?
Wacha we, sasa ulifikiri ustaarabu ndio Uafrika?Duuh, yaani Kuna watu bila kumsifu Rais kwa saa hata moja wanaumwa!
Watatafuta sababu hata isiyo na mashiko ili wasifu.
Hao machifu ndio waliosimamia desturi zisizo na ustaarabu Kama ukeketaji, ubaguzi wa kijinsia, ndoa za utotoni, urithi wa wajane, mauaji ya watoto wachanga maalbino n.k.
Kesho wakimfuata Rais kumuomba azitambue Mila zao atawaambia Nini?
Kama hatazikubali Mila na desturi zao zilizotukuka, hao machifu watasimamia Nini?
Kama hawana Cha kusimamia, huo uchifu ni wa Nini?
Open up your eyes and try to re-think beyond the horizon.....umejazwa "FIKRA" NA "ZIMEJAZIKA" kwelikweli.....Ziko programme za kumuombea Mkuu wa nchi kwenye baadhi ya makanisa na hata misikiti na fikiri hivyo. Wanapomuona Mkuu wa nchi kasimikwa uchief kwenye madhabahu ya hawa machief unafikiri unawaweka hawa kwenye position gani ya kumuombea ulinzi na hekima au kukemea mapepo?
Hata sijaelewa unachotaka kuuliza ni nini.
Naomba urudie vizuri.
Kwani kukemea mapepo hakuwezi kuendana na kumuombea mtu hekima na ulinzi?
Open up your eyes and try to re-think beyond the horizon.....umejazwa "FIKRA" NA "ZIMEJAZIKA" kwelikweli.....
#SiempreChiefHangaya